Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,033
kwani kwenye list mimisa ni wangapi mkuu?
Mwalimu wangu Madame B naomba tafsiri ya hiyo quote of the day.................. wengine huku kwenye kata tumetoka kapa
Maana yake ni kwamba kama jambo zuri ulilokuwa unalitegemea limeenda ndivyo sivyo, basi ujue kuna jambo jingine zuri zaidi ya hilo linakuja.
Maana yake ni kwamba kama jambo zuri ulilokuwa unalitegemea limeenda ndivyo sivyo, basi ujue kuna jambo jingine zuri zaidi ya hilo linakuja.
mimisa njoo nikunong'oneze
kuna taarifa zinasema mimisa yupo kwenye best 500. labda aje athibitishe............... wanasema eti wewe ni zaidi ya Mwatti III
mimisa hana qualifications za kuwepo kwenye best 500. anatakiwa awe upande huu