Quo Vadis CHADEMA?

Gangongine

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
3,854
1,776
CHADEMA kabla ya Mwaka 2015 kilikuwa siyo Chama mashuhuri Tanzania bali hata nje ya Bara la Afrika. Kilikuwa na Dira, Sera na mikakati iliyowaaminisha Watanzania kuona kwamba kinapigania maslahi ya walalahoi na Wazalendo wa Nchi hii!

Inasikitisha sasa ambapo haijulikani Chama hiki kinaelekea wapi, kina dira gani na Sera zipi inazosimamia zaidi ya kutafuta "kick" kwenye matukio ya msimu tu. Haijulikani kama kina Katibu Mwenezi, nani na anafanya nini? Kwa sasa kinapinga kila jambo linalofanywa na Serikali hata kma huko nyuma kilipigania jambo hilo kwa nguvu zote! Hivi ni nani amekiroga Chama hiki masikini!!

Haijulikani kwa nini kimeondoa "List of Shame" kwenye Tovuti yake. Sijui kitawaeleza nini waliokiamini nyakati za nyuma kwa kitendo hicho! Ule ushahidi kiliokaa nao miaka 8 kuhusu List of Shame haijulikani umepeperukia wapi au sijui aliondoka nao Dr Slaa!!!??? Quo Vadis Chadema?
KWA KWELI KINATUKATISHA TAMAA WAFIA CHAMA! RUDI DR SLAA! HUKU HATUNA MWELEKEO TENA!!
 
RUDI DR SLAA! HUKU HATUNA MWELEKEO TENA!!
Umezunguka mwisho umerudi kwenye lengo lako la kuandika ujumbe wako ulicho zamilia ni hicho tu zingine mbwebwe sasa ni ivi KURUDI UYO BWANA NI NDOTO USIPOTEZE MUDA,mmeona lipumba hana msaada kwenye mission yenu sio mmeona mtafute namna ya kumrudisha silaa?
 
Reactions: dtj
KWELI YANG'WENYA KUWA CDM KWISHNEY!
 
Ingekuwa imeporomoka umaarufu na haiwasumbi isingetumika nguvu kubwa kama mnavyofanya kuichafua na kuzui shughuli zake, mbona hamuangaiki na UDP, TLP?! Chadema ni maarufu kuliko ccm na ina fanya kazi muhimu sana ndio maana serikali inamaliza nguvu kuiua chadema badala ya kujenga viwanda.
 
Kabla ya kuishangaa Chadema ulipaswa kuishangaa ccm. Awamu ya mwalimu Nyerere ccm ikasema madini yasichimbwe mpk watz watakapo kuwa na uwezo wa kimaarifa na kiteknolojia.

Awamu ya Mkapa chini ya ccm hiyo hiyo mkawapa mabeberu madini yetu yote kwa mikatapa isiyofaa na isiyo na faida kwa taifa. Ccm mkatuaminisha kwamba nchi yetu itapaa kiuchumi.
.
Awamu ya tano hii chini ya rais Magufuli mnapiga kelele ooh ! Mabeberu yanatuibia. Mlipokuwa mnasaini mikataba kuyapatia madini haya mabeberu mlikuwa mmelewa nn, madaraka ama pombe ? Ni kweli ccm ina uchungu na rasilimali za nchi hii ama ni kutafuta kick ?

Kuna faida gani kupambania haki ktk rasilimali ambayo tayari imekwisha ? Mbona île gesi na mafuta haiongelewi kabisa ?
 

Ingekuwa imekufa nadhani hata Mwenyekiti angepata Ukuu wa Mkoa,lakini hata msiba mnaupiga mabomu ajabu na kweli
 
Mtafiti ni kweli Rasilimali imekwisha?
 

Naona mlichotegemea sicho,mtabaki hivyo hivyo.Sishangai kama Mwenyekiti wa Chama anapenda kipindi cha SHILAWADU itakuwaje kwa vijana wake
 
Naona mlichotegemea sicho,mtabaki hivyo hivyo.Sishangai kama Mwenyekiti wa Chama anapenda kipindi cha SHILAWADU itakuwaje kwa vijana wake
Makamanda sio kila kitu mnakisia
..
Wengine hatuna vyama ,wala hatuna mpango navyo ,tunawadhangaa nyinyi makada wa vyama.

Kama mwenyekiti kajizolea Wema sepenga, wanachama mgawane akina Gigy sasa
 
Gangongine hawatakuelewa na utashushiwa mitusi kama Wabunge wafanyavyo bungeni: Mnyika, Mbilinyi, Bulaya, Mdee, Lema, Lissu na wengineo.

Kuwa kiongozi CHADEMA sifa kuu ni kuropoka, wao ukiita kitendo cha kishujaa!

Humu jamvini sifa yao pia na matusi: wapo akina swissme, Retired, Daud Mchambuzi, Mawia, Waterloo, na wenzao.
 

Tatizo lenu mlichokitafuta mmekikosa ,naona mkaenda kusikilizia kwenye msiba kunasemaje mkatolewa baru,sasa mmekuja tena hakuna rambirambi huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…