Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Nianze Kwa kutaja miamba iliyoondoka chadema na sifa zao na hawakutakiwa kutoka!
David silinde, huyu jamaa alikuwa jemedari wa nyanda za kusini aliishika sana Tunduma, sijajua kwanini CHADEMA waliruhusu mazingira yamuondoe!
Dr. slaa, huyu aliishika nchi kisawa sawa, watu hawakuwa wanaogopa chochote na alijua kucheza na hisia za watanzania alitushika haswa! Tamaa ya Mbowe Ilimuondoa CHADEMA! Huyu mwamba angekuwepo mpaka Leo CHADEMA ingekuwa imara sana! CHADEMA inakufa ila wenyewe wanadai haijafa, lakini ukiangalia kwa jicho pana unaona kabisa hata karibu mkuu wa sasa hana ubunifu wa kutufanya bize!
Leo hata kile kitengo cha mitandaoni au kurugenzi ya habari nikama haipo na kama ipo basi hawajui wafanye nini! Mtumbwi unazama labda wanasubiri uchaguzi ndio waanze kufurukuta.
Kuna njia za kukifanya chama kiwe mdomoni mwa watu na kiwe na matukio ya kipropaganda lakini hakuna tena hizo system, zote zimestaki. Nawaona bado wanakiogopa kivuli cha Magufuli, kurugenzi ya habari ya CHADEMA kwa sasa haijulikani kama ipo. Kaeni chini muanze upya chama kinakufa!
David silinde, huyu jamaa alikuwa jemedari wa nyanda za kusini aliishika sana Tunduma, sijajua kwanini CHADEMA waliruhusu mazingira yamuondoe!
Dr. slaa, huyu aliishika nchi kisawa sawa, watu hawakuwa wanaogopa chochote na alijua kucheza na hisia za watanzania alitushika haswa! Tamaa ya Mbowe Ilimuondoa CHADEMA! Huyu mwamba angekuwepo mpaka Leo CHADEMA ingekuwa imara sana! CHADEMA inakufa ila wenyewe wanadai haijafa, lakini ukiangalia kwa jicho pana unaona kabisa hata karibu mkuu wa sasa hana ubunifu wa kutufanya bize!
Leo hata kile kitengo cha mitandaoni au kurugenzi ya habari nikama haipo na kama ipo basi hawajui wafanye nini! Mtumbwi unazama labda wanasubiri uchaguzi ndio waanze kufurukuta.
Kuna njia za kukifanya chama kiwe mdomoni mwa watu na kiwe na matukio ya kipropaganda lakini hakuna tena hizo system, zote zimestaki. Nawaona bado wanakiogopa kivuli cha Magufuli, kurugenzi ya habari ya CHADEMA kwa sasa haijulikani kama ipo. Kaeni chini muanze upya chama kinakufa!