Question

Question

Is it possible to have science without technology.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza jua science ni nin na tech ni nin....

Ila kifupi tech ni matumizi ya ujuzi wa kisayansi katika maisha ya kila siku.

Kama sayansi isipotumika hakuna tech, Sayansi imezaaa tech. Sayans inaweza kuwepo bila tech bt tech haiwez kuwepo bila sayans, thou kuna baadhi ya gunduzi au kaz zingine za kisayansi hazi wez fanyika bila kwanza kuingiza kazi za sayansi kwenyematendo

Do what scares you until it doesnt..
 
Back
Top Bottom