Karucee unajua lakini tumeanzia wapi na bintimzalendo jamani??miss neddy, badala ya kusingizia watu mambo yasiyokuwepo njoo umuone mumeo.
miss neddy, badala ya kusingizia watu mambo yasiyokuwepo njoo umuone mumeo.
enheeeeeeee nimekuja mbio mbio kafanyaje tena king mswati
...hata mimi napenda sana hiyo kitu..Mh kuna wanaotaka ugali na maziwa mgando asubuhi!
Teheeee mkuu dah na wewe unapenda hii kitu asubuhi? Maana issue ni kusonga ndude hiyo asubuhi......hata mimi napenda sana hiyo kitu..
Mh kuna wanaotaka ugali na maziwa mgando asubuhi!
Teheeee mkuu dah na wewe unapenda hii kitu asubuhi? Maana issue ni kusonga ndude hiyo asubuhi...
Ngosha Kogema!!!, ID yako inanikumbusha mbali sana mkuu.Anaetaka msukuma karibu! Maraha mengi sana usukumani.......
Wandemi ni lazima, vijana wataenda kuchunga bila kupiga ugali!?Teheeee mkuu dah na wewe unapenda hii kitu asubuhi? Maana issue ni kusonga ndude hiyo asubuhi...
Za uso huwa nyiingi tu, lakini penzi unapata na kila kitu. Kama una wivu jihadhari.
Wanajua kupenda na kucare lakini wana uhuru wa kuoa zaidi ya mke mmoja na bado wakabalance pendo. Kwao michepuko ni asili, hivyo ikitokea anachepuka usifikiri kuwa amebadili tabia. Kwa upole ndio wenyewe.
mwanaume wa kisukuma akikupenda hata kama una chongo uta-enjoy kwa ma lovey dovey ya kufa mtu, atakuamini 100% ila hawapendi ma-sista du. na ni wahongaji. ila wale wa Bariadi ni wabahiri kiaina.
mwanamke wa kisukuma (mimi) tunapenda hadi tunajisahau. sasa ukikutana na tapeli wa mapenzi atadhani unataka hela zake (kama zipo) kumbe ni nature yetu. kwenye department ya mapishi tunapenda kupika chakula kingi maana wanaume wetu wa kisukuma lazima ale asaze ndo anajua kweli ana mwanamke. na hawapendi viporo
all in all wanaume wa kanda ya ziwa especially mwanza na musoma (wakurya, wajita, wazanaki, wajaluo etc) ni wahongaji sana....anaweza hata akakupa msahahara wote wa mwezi.
sasa siyo mkaibe waume za watu...
Wana kitabia cha kuoa mke mwingine hasa baada ya kukuzalisha.
Sio kwa dunia ya leo hizi habri za tribe perpertual mbona mnaziendekeza sana?
Suala la mapenzi ni pana kuliko tufikiriavyo ila ntakubalina na moja kuwa wasukuma sio wachoyo na wanapenda watu so angalia kama utamatch nao.
Hapa kazi ipo manake me don't know how to cook ze ugali....hata mimi napenda sana hiyo kitu..
Kama wewe Ni mke wangu huna ujanja, utasonga tu..
Wandemi ni lazima, vijana wataenda kuchunga bila kupiga ugali!?
Bonge la ugali na maziwa mgando au fresh(Masunga), ka mboga kanakuwaga kadogo tu, chanji imejaa maziwa, tonge kubwa kinoma hata kama ugali wa moto unaenda tu.