Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
Hata hao mkuu?Good good!
Mi nawaadmire wadada walio tulia kwenye ndoa zao!!
Wamama wanaohangaika kulea watoto wao wenyewe!!
Wakaka/wababa wakweli na waaminifu kwa wenzi wao.
Wababa wasiokimbia majukumu.
Vijana wenye mitizamo hasi!
Na wote wanaokwepa kuwatapeli wenzao iwe kwenye mapenzi au maishani kwa ujumla!
Pia wote wanaoleta thread na kutoa michango ya mafunzo hapa jamvini!