quality unazo admire kwa wengine............

Good good!

Mi nawaadmire wadada walio tulia kwenye ndoa zao!!

Wamama wanaohangaika kulea watoto wao wenyewe!!

Wakaka/wababa wakweli na waaminifu kwa wenzi wao.

Wababa wasiokimbia majukumu.

Vijana wenye mitizamo hasi!

Na wote wanaokwepa kuwatapeli wenzao iwe kwenye mapenzi au maishani kwa ujumla!

Pia wote wanaoleta thread na kutoa michango ya mafunzo hapa jamvini!
Hata hao mkuu?
 
Kwanza nampongeza sana muanzilishi wa thread, kwani michango yenye ina maana nzito na mafunzo. Qualities zifuatazo nazitamani sana niwe nazo, na nawapongeza waliojaaliwa kuwa nazo.
1. Wachapa kazi bila kudai ujira, wakiamini kuwa ipo siku juhudi zao zitalipwa

2. Wapenda amani, wanaokwepa kila chanzo cha ugomvi na kujitahidi kuamua watu na kutafuta suluhu na wepesi wa kusamehe.

3. Waogopa dhambi – wanakwepa na kujiepusha na matendo yote maovu ikiwa ni pamoja na uongo, uzinzi, dhuluma n.k.

4. Wavumilimu – wako tayari kuvumilia adha za dunia na kupambana nazo, panapopaswa kulia yeyé anatabasamu na kutafuta suluhu.
 
Kwanza nampongeza sana muanzilishi wa thread, kwani michango yenye ina maana nzito na mafunzo. Qualities zifuatazo nazitamani sana niwe nazo, na nawapongeza waliojaaliwa kuwa nazo.
1. Wachapa kazi bila kudai ujira, wakiamini kuwa ipo siku juhudi zao zitalipwa

2. Wapenda amani, wanaokwepa kila chanzo cha ugomvi na kujitahidi kuamua watu na kutafuta suluhu na wepesi wa kusamehe.

3. Waogopa dhambi – wanakwepa na kujiepusha na matendo yote maovu ikiwa ni pamoja na uongo, uzinzi, dhuluma n.k.

4. Wavumilimu – wako tayari kuvumilia adha za dunia na kupambana nazo, panapopaswa kulia yeyé anatabasamu na kutafuta suluhu.
Ina maana akitokea mwenye sifa hizi unachukua jumla, huangalii vitu vingine?
 
Back
Top Bottom