Q-chief ajipange

Q-chief ajipange

Matanzia kizebazeba

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
654
Reaction score
630
katika hali ya kusitajabisha,baada ya q chief kuongea na kutoa maneno mengi kua msanii diamond anatembelea nyota yake imezidi kujidhihirisha wazi kua msanii q chief amechoka na anatafta tu pa kulaumu wakati game ya sanaa imemshnda.
Jana q chief alifanya show mwnza licha ya show hyo kufanyika katika ucimamiz wa watu wanaojua game hlo namanisha B12,dj zero na weng but kjana kashndwa kabsa onesha performance ya maana ndan ya club fussion.
Jpange na fanya mazoez ucimsingizie diamond jpange la cvo kumshnda diamond wasanii wote bongo mtasubiri
 
Hii ni taarifa, Ujumbe ama habari?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hivi huyu jamaa bado ana upara wake ambapo tokea aliponyoa ndio na umaarufu wake ukawa byebye!ajaribu kufuga nywele na kukaza buti nafasi bado anayo umri unaruhusu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom