Pwani: Serikali yafyeka mazao yaliyolimwa pembezoni mwa Mto Ruvu ndani ya Mita 60

tatum

JF-Expert Member
Jan 16, 2018
5,786
4,490
05 (3).JPG


Hapo ni Ruvu mbogamboga zikiharibiwa kwasababu zipo ndani ya mita 60 kutoka mtoni kwa amri ya Bodi ya maji bonde la Wami na Ruvu.


BODI YA MAJI YAFYEKA MAZAO YA WAKULIMA MTO RUVU
Bodi ya Maji Bonde la Wami/ Ruvu imefika na kufyeka mazao mbalimbali yaliyolimwa pembezoni mwa Mto Ruvu na ndani ya Mita 60 kutoka kwenye mto huo katika eneo la Ruvu Darajaji mkoani Pwani.

Akizungumza na waandishi wa habari, Afisa Maji wa Bonde la Wami/Ruvu, Simon Ngonyani amesema kuwa zoezi hilo ni muendelezo wa operation ya kuwaondoa watu wanaofanya shughuli za kibinadamu ikiwemo kilimo na kujenga makazi yao ndani ya Mita 60 kutoka Mto huo ili kulinda chanzo hicho cha maji.

"Sasahivi maji yamepungua katika Mto huu nilikuwa naongea na ndugu yangu CEO wa DAWASA aliniambia kwamba mitambo yake sasa inaungua kwasababu kina cha maji kimepungua sana na maji yanapungua kwasababu watu wanalima hivyo michanga inaingia kwenye mto kina kinapingua" -Ngonyani.

Aidha amesema kuwa kutokana na wakulima hao wanaolima kando ya Mto kwa kutumia mbolea za chumvi chumvi kunapelekea usalama wa maji hayo kupotea kwa watumiaji hivyo watu wafuate sheria ili kulinda maji ya Mto huo.

"Tumeamua kusimamia sheria hatutawabakisha, leo tunafyeka mazao yote yaliyopo ndani ya Mita 60 lakini kinachofuatia nyumba ambazo zipo ndani ya Mita 60 zenyewe pia tutazifanyia kazi"- Ngonyani.


Habari zaidi, soma=>Kyaka, Kagera: Rais awapiga marufuku viongozi wanaowazuia wananchi kulima kandokando ya mito - JamiiForums

UPDATES:

Siku nne zimepita tangu Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu kufyeka mazao yaliyolimwa na Watanzania Mbalimbali pembezoni mwa mto Ruvu.

Afisa wa Maji, Simoni Ngonyani amefafanua hatua hiyo kwamba walifanya jitihada za kutosha kwa kutoa elimu, kuweka mabango na kukubaliana na wakulima wenyewe juu ya kusitisha shughuli ya kulima mazao kwenye Bonde hilo.

Hata hivyo Bodi inaendelea kutoa elimu na kuchukua hatua dhidi ya watu wote wanaovamia vyanzo vya maji na kutumia maji ya mito pasipo vibali.
 
Tunaporudi safari huwa tunanunua mboga mboga na samaki Ruvu darajani....na hiyo huwawezesha pia wananchi wa pale kujikimu kimaisha
Hao samaki unaonunua hapo Ruvu hawavuliwi hapo, wanaletwa kutoka maeneo mengine
 
View attachment 961690

Hapo ni Ruvu mbogamboga zikiharibiwa kwasababu zipo ndani ya mita 60 kutoka mtoni kwa amri ya Bodi ya maji bonde la Wami na Ruvu.


BODI YA MAJI YAFYEKA MAZAO YA WAKULIMA MTO RUVU
Bodi ya Maji Bonde la Wami/ Ruvu imefika na kufyeka mazao mbalimbali yaliyolimwa pembezoni mwa Mto Ruvu na ndani ya Mita 60 kutoka kwenye mto huo katika eneo la Ruvu Darajaji mkoani Pwani.

Akizungumza na waandishi wa habari, Afisa Maji wa Bonde la Wami/Ruvu, Simon Ngonyani amesema kuwa zoezi hilo ni muendelezo wa operation ya kuwaondoa watu wanaofanya shughuli za kibinadamu ikiwemo kilimo na kujenga makazi yao ndani ya Mita 60 kutoka Mto huo ili kulinda chanzo hicho cha maji.

"Sasahivi maji yamepungua katika Mto huu nilikuwa naongea na ndugu yangu CEO wa DAWASA aliniambia kwamba mitambo yake sasa inaungua kwasababu kina cha maji kimepungua sana na maji yanapungua kwasababu watu wanalima hivyo michanga inaingia kwenye mto kina kinapingua" -Ngonyani.

Aidha amesema kuwa kutokana na wakulima hao wanaolima kando ya Mto kwa kutumia mbolea za chumvi chumvi kunapelekea usalama wa maji hayo kupotea kwa watumiaji hivyo watu wafuate sheria ili kulinda maji ya Mto huo.

"Tumeamua kusimamia sheria hatutawabakisha, leo tunafyeka mazao yote yaliyopo ndani ya Mita 60 lakini kinachofuatia nyumba ambazo zipo ndani ya Mita 60 zenyewe pia tutazifanyia kazi"- Ngonyani.

Ni vyema ikawa Nchi moja sheria moja,siyo mita 60 toka chanzo cha maji na Mara mita 60 toka mtpni.Mara ruaha mbuyuni wanalima vitunguu hadi mtoni.
 
Watanzania wengi ni watu wenye vichwa vigumu sana,hapo utakuta mtu analalamika bila aibu.
 
View attachment 961690

Hapo ni Ruvu mbogamboga zikiharibiwa kwasababu zipo ndani ya mita 60 kutoka mtoni kwa amri ya Bodi ya maji bonde la Wami na Ruvu.


BODI YA MAJI YAFYEKA MAZAO YA WAKULIMA MTO RUVU
Bodi ya Maji Bonde la Wami/ Ruvu imefika na kufyeka mazao mbalimbali yaliyolimwa pembezoni mwa Mto Ruvu na ndani ya Mita 60 kutoka kwenye mto huo katika eneo la Ruvu Darajaji mkoani Pwani.

Akizungumza na waandishi wa habari, Afisa Maji wa Bonde la Wami/Ruvu, Simon Ngonyani amesema kuwa zoezi hilo ni muendelezo wa operation ya kuwaondoa watu wanaofanya shughuli za kibinadamu ikiwemo kilimo na kujenga makazi yao ndani ya Mita 60 kutoka Mto huo ili kulinda chanzo hicho cha maji.

"Sasahivi maji yamepungua katika Mto huu nilikuwa naongea na ndugu yangu CEO wa DAWASA aliniambia kwamba mitambo yake sasa inaungua kwasababu kina cha maji kimepungua sana na maji yanapungua kwasababu watu wanalima hivyo michanga inaingia kwenye mto kina kinapingua" -Ngonyani.

Aidha amesema kuwa kutokana na wakulima hao wanaolima kando ya Mto kwa kutumia mbolea za chumvi chumvi kunapelekea usalama wa maji hayo kupotea kwa watumiaji hivyo watu wafuate sheria ili kulinda maji ya Mto huo.

"Tumeamua kusimamia sheria hatutawabakisha, leo tunafyeka mazao yote yaliyopo ndani ya Mita 60 lakini kinachofuatia nyumba ambazo zipo ndani ya Mita 60 zenyewe pia tutazifanyia kazi"- Ngonyani.
Huu ni ujinga, mpaka wanalima walikuwa wapi?? Wakiacha wakavuna watapoteza nini maana uharibifu wa mazingira unafanyika kwa kukata miti na kufyeka na kulima majani sasa wameacha yote haya yakafanyika alafi ndiyo wanakuja kufyeka mazao ujinga huu.
 
Kama sheria zetu zinafanya kazi sawasawa hawa wakulima inabidi walipwe fidia
Ni jukumu lao mamlaka husika kuhakikisha shughuli kama hizo hazifanyiki karibu na Mto sasa walilala wapi mpaka mazao yanafika kiwango hicho ndio wanakuja kufanya uharibifu
Ina maana hawako makini na kazi zao kwa mda woote huo
 
View attachment 961690

Hapo ni Ruvu mbogamboga zikiharibiwa kwasababu zipo ndani ya mita 60 kutoka mtoni kwa amri ya Bodi ya maji bonde la Wami na Ruvu.


BODI YA MAJI YAFYEKA MAZAO YA WAKULIMA MTO RUVU
Bodi ya Maji Bonde la Wami/ Ruvu imefika na kufyeka mazao mbalimbali yaliyolimwa pembezoni mwa Mto Ruvu na ndani ya Mita 60 kutoka kwenye mto huo katika eneo la Ruvu Darajaji mkoani Pwani.

Akizungumza na waandishi wa habari, Afisa Maji wa Bonde la Wami/Ruvu, Simon Ngonyani amesema kuwa zoezi hilo ni muendelezo wa operation ya kuwaondoa watu wanaofanya shughuli za kibinadamu ikiwemo kilimo na kujenga makazi yao ndani ya Mita 60 kutoka Mto huo ili kulinda chanzo hicho cha maji.

"Sasahivi maji yamepungua katika Mto huu nilikuwa naongea na ndugu yangu CEO wa DAWASA aliniambia kwamba mitambo yake sasa inaungua kwasababu kina cha maji kimepungua sana na maji yanapungua kwasababu watu wanalima hivyo michanga inaingia kwenye mto kina kinapingua" -Ngonyani.

Aidha amesema kuwa kutokana na wakulima hao wanaolima kando ya Mto kwa kutumia mbolea za chumvi chumvi kunapelekea usalama wa maji hayo kupotea kwa watumiaji hivyo watu wafuate sheria ili kulinda maji ya Mto huo.

"Tumeamua kusimamia sheria hatutawabakisha, leo tunafyeka mazao yote yaliyopo ndani ya Mita 60 lakini kinachofuatia nyumba ambazo zipo ndani ya Mita 60 zenyewe pia tutazifanyia kazi"- Ngonyani.
Ni sawa tu. Vyanzo vya maji vilindwe
 
Sahihi tu, kwani sheria iko wazi juu ya matumizi ya ardhi zilizo karibu na mabonde ya mito,fukwe za bahari, hifadhi za barabara n.k.
 
Mbona mwenyekiti wao anataka kuweka #stigilasgoji kwenye mto huohuo inamana ataweka mita ngapi ili asichafue mto au wanatuonea cc ili wapalilie vibarua vyao kama sio kutaka maujiko makamera ya nini shambani.
 
Kweli awamu hii kila MTU ataisoma namba kwa sekta yake.Sasa hapo mtu ameacha kazi na kwenda kulima pande za ruvu then wanafyeka.kilio chake no hatarii!
 
Back
Top Bottom