Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Ni ujinga uliopitiliza na kikubwa ni kuwa na viongozi wasiyo na elimu ndiyo kunachangia ccm kuwa kama kichaka cha makaburuChama kilishika hatamu
Ni ujinga uliopitiliza na kikubwa ni kuwa na viongozi wasiyo na elimu ndiyo kunachangia ccm kuwa kama kichaka cha makaburuChama kilishika hatamu
Mmh Ndungai mbona ana elimu lakini aneamua kukanyaga katiba ya nchi na anajisifu kuwa hakuna wa kumfanya lolote.Ni ujinga uliopitiliza na kikubwa ni kuwa na viongozi wasiyo na elimu ndiyo kunachangia ccm kuwa kama kichaka cha makaburu
Huyo kaharibiwa na malezi ya babake wa kufikia maana ukitazama watoto wa huyo mzazi utagundua kuwa kila mtoto hakubaliki kwenye jamiiMmh Ndungai mbona ana elimu lakini aneamua kukanyaga katiba ya nchi na anajisifu kuwa hakuna wa kumfanya lolote.
Dikteta aliharibu sn utumishi wa ummaNi ujinga uliopitiliza na kikubwa ni kuwa na viongozi wasiyo na elimu ndiyo kunachangia ccm kuwa kama kichaka cha makaburu
Hiyo ndiyo ccm na kibaya zaidi unakuta huyo mtu ni ngumbaru hata kuandika jina lake haweziStupidity never ends, unamuuliza mtu swali huku umepanga majibu yako mwenyewe how do you think you are relevant in someone's life to the point of holding his reasoning power?
😂😂😂Dah... Bado kuna watu wanamuita yule Mzee Shujaa?
Hilo jina halipo tenaDah... Bado kuna watu wanamuita yule Mzee Shujaa?
Duuuu ni mtihani maana hawa majamaa kwa majungu wameshindikanaBado yupo kazini mpaka leo kweli?
Tena wa Afrika!Dah... Bado kuna watu wanamuita yule Mzee Shujaa?
Umesahau hata pale alipo waambia watendaji kuwa wao ndiyo maboss wa wilaya .Dikteta aliharibu sn utumishi wa umma
Mmh Ndungai mbona ana elimu lakini aneamua kukanyaga katiba ya nchi na anajisifu kuwa hakuna wa kumfanya lolote.
KabisaUmesahau hata pale alipo waambia watendaji kuwa wao ndiyo maboss wa wilaya .
Dikteta alikuwa ni kibokoKatiba gani?
Mwendazake alipoingia madarakani aliingia na sheria na kanuni zake. Kwa sasa ndo tunaanza kutumia sheria za 2015 kurudi nyuma!
Watu kama hawa ni wachache sana duniani.Alinifurahisha sana. Nyakati hizo kila mtu anaogopa utawala wa jiwe. Yeye mbele ya camera akasimama imara. Nakumbuka kuna mada ililetwa humu watu wakidai ataoewa uhamiaho wa adhabu na mengine kama hayo
Kuna na yule mama alikuwa ocd wa ilala au kinondoni somebody KagandaWatu kama hawa ni wachache sana duniani.
Masanja alitiishaKatiba gani?
Mwendazake alipoingia madarakani aliingia na sheria na kanuni zake. Kwa sasa ndo tunaanza kutumia sheria za 2015 kurudi nyuma!