Pwagu na Pwaguzi, Ben Kiko

Pwagu na Pwaguzi, Ben Kiko

Huyu jamaa nasikia kuna kipindi wabunge walichemsha akiwa bado Dodoma, yeye akalipoti bila chenga ndo kisa cha kutelekezwa, Cheza na system wewe/.

Aisee...kwa hiyo ni mchezo uleule wa ku-victimize vipaji! What a pity! Yaanni katika hii nchi ukiwa na kipaji kosa.... Hivi kweli alikuwa mtu wa kumtelekeza yule? Tena usikute hata hiyo ishue aliyoripoti bila chenga system ilikuwa na makosa. It is such a shame tunapoteza watu kama huyu Ben Kiko kwa sababu tu ya narcissism ya vilaza katika system; eti system...my foot! system ya ma-narcissist.
 
Nani anawakumbuka watangazaji hawa?: Chama Omari Matata, Godfrey Mngodo, Steven Mlatie , Job Isack Mwamto, Leonard Mambo Mbotela, ..........


Godfrey Mngodo, Radio Tanzania Dar es Salaam
Leonard Mambo Mbotela, Voice of Kenya kutoka Nairobi, au?
alikuwa anatangaza VoK huyu....
 
Back
Top Bottom