Putin: Tulitaka kuisaidia Iran katika ulinzi wa anga yao lakini ikapuuza

Putin: Tulitaka kuisaidia Iran katika ulinzi wa anga yao lakini ikapuuza

usale2025

Member
Joined
Jan 23, 2025
Posts
29
Reaction score
55
Vladimir Putin amesema kuwa Iran haijaonyesha nia ya kushirikiana na Urusi katika mifumo ya ulinzi wa anga.
Siku ya Jumatano tarehe 18 mwezi Juni 2025 , Rais wa Urusi aliandaa kikao na wahariri wakuu wa mashirika ya habari, ambapo suala la vita vya Israel na Iran lilijadiliwa.

Kuhusu usaidizi kwa ulinzi wa anga wa Iran amesema: "Tuliwahi kutoa pendekezo kwa marafiki zetu wa Iran kwamba tushirikiane katika uga wa mifumo ya ulinzi wa anga, lakini washirika wetu hawakuonyesha nia kubwa wakati huo, na ndivyo ilivyokuwa."

Bw. Putin pia alisema: "Pendekezo letu lilikuwa kuunda mfumo kamili, sio uwasilishaji tofauti wa vifaa; mfumo mmoja.

Mwishowe, tulizingatia suala hili mara moja tu, lakini upande wa Iran haukuonyesha nia kubwa na suala hilo lilisitishwa.
 
Urusi yenyewe inatandikwa na Ukreine kwenye anga lake ndio ataweza kuzuia ndege za Israeli zisitambe kwenye anga la Iran.
Russia akiamua kumaliza vita anaweza anapiga tu nuclear moja kazi imeisha. Otherwise Russia akiingilia hii vita pengine ndio utakua mwisho wa ubabe wa Israel hapo middle East.

Syria alipoingia Russia ndio vita ikabadili upepo hata hao Israel wakashindwa mpindua Assad!! Russia match yake ni USA/China sio hao wayahudi.
 
Vladimir Putin amesema kuwa Iran haijaonyesha nia ya kushirikiana na Urusi katika mifumo ya ulinzi wa anga.
Siku ya Jumatano tarehe 18 mwezi Juni 2025 , Rais wa Urusi aliandaa kikao na wahariri wakuu wa mashirika ya habari, ambapo suala la vita vya Israel na Iran lilijadiliwa.

Kuhusu usaidizi kwa ulinzi wa anga wa Iran amesema: "Tuliwahi kutoa pendekezo kwa marafiki zetu wa Iran kwamba tushirikiane katika uga wa mifumo ya ulinzi wa anga, lakini washirika wetu hawakuonyesha nia kubwa wakati huo, na ndivyo ilivyokuwa."

Bw. Putin pia alisema: "Pendekezo letu lilikuwa kuunda mfumo kamili, sio uwasilishaji tofauti wa vifaa; mfumo mmoja.

Mwishowe, tulizingatia suala hili mara moja tu, lakini upande wa Iran haukuonyesha nia kubwa na suala hilo lilisitishwa.
Nilishasema Urusi na USA na China ni kitu kimoja
 
Russia akiamua kumaliza vita anaweza anapiga tu nuclear moja kazi imeisha. Otherwise Russia akiingilia hii vita pengine ndio utakua mwisho wa ubabe wa Israel hapo middle East.

Syria alipoingia Russia ndio vita ikabadili upepo hata hao Israel wakashindwa mpindua Assad!! Russia match yake ni USA/China sio hao wayahudi.
Nimekupata mkuu.👍
 
Russia akiamua kumaliza vita anaweza anapiga tu nuclear moja kazi imeisha. Otherwise Russia akiingilia hii vita pengine ndio utakua mwisho wa ubabe wa Israel hapo middle East.

Syria alipoingia Russia ndio vita ikabadili upepo hata hao Israel wakashindwa mpindua Assad!! Russia match yake ni USA/China sio hao wayahudi.
Sasa kupiga nuclear sio kitu rahisi kama unavyodhani sababu sio yeye pekee mwenye hizo nuclear na kazi itakuwa haijaisha, ndio inaweza kuwa ngumu zaidi
 
Urusi yenyewe inatandikwa na Ukreine kwenye anga lake ndio ataweza kuzuia ndege za Israeli zisitambe kwenye anga la Iran.
Hii vita inatufundisha sana juu ya aina ya uwekezaji kijeshi.
Wekeza kwenye intelijensia na sio vifaa pekee vya kijeshi.

Irani ina vifaa bora vya kijeshi lkn inapigana kwa kurusha hovyo bila target za kumpunguza ngu adui, atapiga nyumba za makazi badala ya kuangamiza silaha na miundombinu ya silaha na watumiaji wake.

Wakati Israel anaangamiza miundombinu ya silaha na viongozi wa kijeshi
 
Russia akiamua kumaliza vita anaweza anapiga tu nuclear moja kazi imeisha. Otherwise Russia akiingilia hii vita pengine ndio utakua mwisho wa ubabe wa Israel hapo middle East.

Syria alipoingia Russia ndio vita ikabadili upepo hata hao Israel wakashindwa mpindua Assad!! Russia match yake ni USA/China sio hao wayahudi.
Mwaka 3.5 bado hajaiteka Ukraine.
Ninaamini Russia kwa Israel atachezea mpini sana.

Lingine, ni ngumu Russia na Israel kuingia vitani moja kwa moja.
 
Hii vita inatufundisha sana juu ya aina ya uwekezaji kijeshi.
Wekeza kwenye intelijensia na sio vifaa pekee vya kijeshi.

Irani ina vifaa bora vya kijeshi lkn inapigana kwa kurusha hovyo bila target za kumpunguza ngu adui, atapiga nyumba za makazi badala ya kuangamiza silaha na miundombinu ya silaha na watumiaji wake.

Wakati Israel anaangamiza miundombinu ya silaha na viongozi wa kijeshi
Sisi Iran tunataka tuwaue waisrael wasio na hatia ili wamchuki waziri mkuu wao Benja.

Tutawaua na kuwaua watu wasio na hatia.
 
Putin unauzi sana wewe lizee nenda kamsaidie mwenzio hata wewe ulipochezea kichapo walikusaidia sana
Iran wameshasema nchi marafiki wameomba kutoa msaada wao wamesema bado wanajiweza hawahitaji msaada.

Hii vita bado changa sana kuanza kuomba msaada, ni sawa Iran kuendelea kupambana peke yake so long as US naye bado hajaingiza miguu yote katika vita upande wa Israel.
 
Hu
Urusi yenyewe inatandikwa na Ukreine kwenye anga lake ndio ataweza kuzuia ndege za Israeli zisitambe kwenye anga la Iran.
Huijui vizuri urusi Wewe , kwenye rada na makombora. Hii Dunia nzima kilee chuma hakuna mpinzani. Marekani Yuko vizuri sana kwenye Jet(fighters)na bombers no offense ila ukija kwenye rada na missile Russia Sio wa Dunia hii.
 
Back
Top Bottom