PUTIN ON AFRICA AND AFRICANS

PUTIN ON AFRICA AND AFRICANS

iwe kasema au hajasema yeye ila kilichopostiwa ni kweli 100% ukibisha angalia post za mastaa wetu wengi hupost wakila bata Dubai,London,Newyork nk. Ila huwezi ona wamepost labda wakiwa kwenye mbuga za wanyama za kwetu au hata basi mapango ya handeni
 
Mkuu, nafikiri hajaongea, ame tweet; unataka kunambia mkuu wetu aki tweet TBC hua wanatangaza!? Ile salamu ya kuwatakia ushindi taifa stars through tweeter mbona sijaiona kwenye chombo chochote cha habari!?

Labda tu kweka record sawasawa; nijuavyo motto/binti wa raisi wa zamani wa USA bwana Clinton na yule wa George Bush university level hawakusoma Marekani, in fact hata kwao huko sio kweli kwamba eti watoto wao wote husomea kwenye nchi zao; raisi wa NK kasomea wapi!?
Hebu nenda kwenye account ya twitter ya Putin kisha njoo ucomment tena.
 
Kama kuna kitu Waafrika tutahisi tumerogwa kumbe tumejiroga ni pale tunapoanza kupoteza uzalendo, mshikamano na kuacha kuwekeza kwenye Uafrika..
Na bila shaka yeyote kama kuna kitu kingetufanya tuchomoze chap kiuchumi ni wakati tungetanguliza uzalendo kwanza..think about what u will do making ur nation the better place.....
Nilipata wivu wakati Japan anabishana na mjerumani et nani ndo the superpower of the world..mjapani akasema ni yeye..mjerumani naye akasema ni yeye karibu wazichape et, nlicheka sana coz no one among them alikuwa sahihi lakini nilijifunza kuhusu uzalendo hapo..ndo naimagine angekuwepo mbongo hapo..hahahahahaha..
Ila kitu kimoja wadau Mimi ninaona kama tungempa nguvu mheshimiwa raisi kwa uzalendo wetu hii vita ingekuwa ni simple saaaana coz the voice of the president cud be the voice of the people...ndo pale mjapani anpokuwa addicted na nchi yake anapiga kazi hatareee hadi overtime mpaka wanakumbushwa jamani nendeni nyumbani...hahahahahaha.
Kwa mfano umeingia ubia na mjapani kufanya biashara hata kama ni kubwa kiasi gani, ukianza tu kumchimba kuhusu undani wa nchi take atakuruka na mnahairisha biashara zenu...aisee uzalendo
 
Siku hizi waafrika tumeamua kufikisha ujumbe kwa viongozi wa kiafrika kupitia migongo ya watawala wa nje tunawapakazia
Suala là feki libakie moyoni mwako kwetu cha umuhimu ni Ujumbe mzuri alioutoa Mr rais putin
 
Siku hizi waafrika tumeamua kufikisha ujumbe kwa viongozi wa kiafrika kupitia migongo ya watawala wa nje tunawapakazia
Alafu kituko unakuta aliyeandika kufikisha ujumbe huu ni mwafrika yupo Uk.
 
Hivi Putting ni kuchukua muda wote huo kuandika mambo ya Africa?

Labda kama kuna Putting copy.
 
Back
Top Bottom