Jahlex
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 512
- 604
Kweli tupuLakini kama kuna ukweli hiviView attachment 941488
Kweli tupuLakini kama kuna ukweli hiviView attachment 941488
Wewe jamaa umeiokota kwenye acc ya mtu umeileta humu!! Tutaamini vipi kama ni yeye ameongea hayo maneno!! Nyie pro western mna tabu kweli kweli....
Una hakika Putin kasema hayo?
Putin cannot say thisLakini kama kuna ukweli hiviView attachment 941488
Putin ni moja ya viongozi makini mno hapa duniani kwa sasa. Hawezi kuongea kitu kama hiki!Hii ni fake news naona.
Putin ana interests kibao Africa
Ndio tatizo la wabongo hawapendi kufikirisha bongo wao wanapokea tu habari.Nilivyoona hii post nili doubt Putin sio mbumbumbu mpaka aseme maneno hayo wazi kabisa nikaenda kujiridhisha google lakini holla sijakuta chochote...nikakuta link 2,moja ndio hii inakuelekeza mpaka jamii forum na nyingine wa naija basiThis is not even foolishness!
Wee acha tu mkuu.
Unaweza kupost kwamba Mlima kilimanjaro umehamia uganda, ukashangaa hoja ikapata wachangiaji wanaosikitishwa na hilo jambo, hawahoji hii habari nani kasema, inawezekana mlima kuhama? Huyo aliyesema anasifa za kuaminika kutoa hizo taarifa?
Una elim gani mkuu?
Samahani lkn
Hii tunaita Hoax mitandaoni. Tafuta tafsiri ya Hoax utajua nini nasemaJibu swali media ipi ingekuwa sio fake?
Ndio maana JPM HATAKI kwenda Ulaya, Hongera JPM usiende ulaya hadi umalize muda wakoLakini kama kuna ukweli hiviView attachment 941488
Hawezi kuongea upuuzi huu. Putin is the smartest comparing to TrumpHivi Putin anaweza kuandika utumbo huu
Ana majukumu makubwa zaidi ya ujinga huu
Watu wamepinda kupoita maelezo.This is not even foolishness!
Wee acha tu mkuu.
Unaweza kupost kwamba Mlima kilimanjaro umehamia uganda, ukashangaa hoja ikapata wachangiaji wanaosikitishwa na hilo jambo, hawahoji hii habari nani kasema, inawezekana mlima kuhama? Huyo aliyesema anasifa za kuaminika kutoa hizo taarifa?
Ni mtu mwenye hekma sanaHawezi kuongea upuuzi huu. Putin is the smartest comparing to Trump