PUTIN ON AFRICA AND AFRICANS

PUTIN ON AFRICA AND AFRICANS

Nimeenda google kutafuta na kusearch wee maneno yako hayo uliyopost na putin nimekosa


hio habari ipo kwenye blog moja ya Naija ndio imepost hio kitu basi na hakuna website yeyote iliyopost .


So ni fake 100%
Hata mleta mada nae ana akili feki kama ilivyo post yake. Kabla hajapost angefanya uchunguzi kwanza.
 
Hata mleta mada nae ana akili feki kama ilivyo post yake. Kabla hajapost angefanya uchunguzi kwanza.
Ukiwa na akili finyu na ya kipumbavu kama wewe ni hasara!.
Kwahiyo huo uchunguzi ulitaka niufanyia wapi?,kweny matako yako?. Kuileta hapa na kujadiliwa ni moja ya uchunguzi au ulitakaje?
 
Unawagusa wale wanaopinga yanayoendelea sasa chini ya JPM, ukweli mchungu sana...
 
Ukiwa na akili finyu na ya kipumbavu kama wewe ni hasara!.
Kwahiyo huo uchunguzi ulitaka niufanyia wapi?,kweny matako yako?. Kuileta hapa na kujadiliwa ni moja ya uchunguzi au ulitakaje?
Kuna source za habari za kuaminika mkuu, yani unaleta habari sensitive kama hii kutoka instagram? Tena kwenye ka account ka mtu?
 
ni kama kilimanjro ilivyo cemetry kwa wachaga,They invest everywhere burial kilimanjaro kijijini
 
Nimeenda google kutafuta na kusearch wee maneno yako hayo uliyopost na putin nimekosa


hio habari ipo kwenye blog moja ya Naija ndio imepost hio kitu basi na hakuna website yeyote iliyopost .


So ni fake 100%
alafu hayo maneno ni ya muda mrefu sana, sikumbuki ni kiongozi gani tena amewahi kulishwa hayo maneno.
 
Hii ni fake news naona.

Putin ana interests kibao Africa
Ni muhimu kujua u fake au uhalali wa source au ni kudadavua mantiki ya maneno hayo?!? kuwa na interest zake Afrika hakumzuii kusema anachokiamini, Tajiri Dangote pamoja na kuwa na uwekezaji TZ alisema anachokiamini kuhusu TZ!
 
Ni muhimu kujua u fake au uhalali wa source au ni kudadavua mantiki ya maneno hayo?!? kuwa na interest zake Afrika hakumzuii kusema anachokiamini, Tajiri Dangote pamoja na kuwa na uwekezaji TZ alisema anachokiamini kuhusu TZ!
Utajadili vipi mantiki ya maneno kama ni feki..ingekuwa ni hoja binafsi ya mtoa mada hapo tungejadili lakini ni maneno aliyotungiwa na kulishwa kiongozi mkuu

Mfano ukiambiwa magufuli kasema wachina wote waseng.e ukagundua ni feki utaanza kujadili mantiki ya maneno au ufeki au uhalali wa maneno?
 
Utajadili vipi mantiki ya maneno kama ni feki..ingekuwa ni hoja binafsi ya mtoa mada hapo tungejadili lakini ni maneno aliyotungiwa na kulishwa kiongozi mkuu

Mfano ukiambiwa magufuli kasema wachina wote waseng.e ukagundua ni feki utaanza kujadili mantiki ya maneno au ufeki au uhalali wa maneno?
Ok tuachane na hiyo fake au no. wewe mtazamo wako ni upi?. kwa hayo aliyosema whether is Putin or a ghost
 
Putin ni wa kupuuza, kwanza ni mbaguzi wa kiwango cha lami
 
Ni muhimu kujua u fake au uhalali wa source au ni kudadavua mantiki ya maneno hayo?!? kuwa na interest zake Afrika hakumzuii kusema anachokiamini, Tajiri Dangote pamoja na kuwa na uwekezaji TZ alisema anachokiamini kuhusu TZ!
Hakuna aliyepingana na mantiki ya kilichosemwa ila haifuit ukweli kuwa si Putin aliyesema na hatumtendei haki kumlisha maneno.
 
This is the new tactic used by some Africans natives to represent their problems to the government and those in power! Of course this news is totally fake but we got the massage.
 
Nimeenda google kutafuta na kusearch wee maneno yako hayo uliyopost na putin nimekosa


hio habari ipo kwenye blog moja ya Naija ndio imepost hio kitu basi na hakuna website yeyote iliyopost .


So ni fake 100%
The idea is true, jee kuna uongo wowote kwenye hayo maneno
 
Waafrika kupeleka pesa nje wapo sahihi kabisa. Africa ni ujingani. Kuanzia viongozi ni dictators, chochote wanachotaka wanaweza kukufanyia pesa zako mbaya,
 
Back
Top Bottom