PUTIN ON AFRICA AND AFRICANS

PUTIN ON AFRICA AND AFRICANS

Hicho kipengele cha kwenda kusali roma na macca kapitia kabisa.

Utadhani kuwa kwenye nchi yake Mungu hayupo

Unakuta limtu likitajirika ama likisoma linataka kufanana na hao

Kama mkristo anaiga mavazi, lugha na kila kitu cha mzungu. Unakuta kanisani ni wabongo watupu eti muhubiri naye ni mbongo anahubiri kizungu naye atafsiriwe.

Ukimuuliza ina maana Mungu aliyekuumba na kukupa lugha ya asili hawezi kukusikia ukisaki kwa lugha yako hapo unatafuta ugonvi.

Kwa upande wa pili hali ndio ile ile, mtu akisoma ama akipata fedha tiyari huyo kashakuwa mwarabu . Kuanzia lugha, mavazi, chakula hata mila desturi na methali anatumia ya kiarabu.
 
Ulichokipost ni image ya mtu aliepost instagram! Naweza kuyaweka hayo maneno pia kama yalisemwa na Trump au Bob Robert Mugabe! Kwahiyo tunafyekelea mbali uzushi huu.
 
Jibu swali media ipi ingekuwa sio fake?
Ingawa content ya habari imebeba ujumbe muhimu fulani , lakini sishawishiki kuamini kuwa maneno hayo yametamkwa na Putin.. Angatamka yeye Vyombo vyote muhimu duniani vinemquote na habari hiyo ingeonyesha aliyatamka lini, wapi na wakati anafanya nini! Mambo ya msingi ambayo yanaipa habari uhai na kuaminika.
Tusipende kutumia majina ya watu wengine kufikisha ujumbe binafsi..Tujiamini kutoa maoni yetu binafsi kwa kujitambulisha wenyewe sio kwa kutumia vivuri vya wengine.
 
Nimeenda google kutafuta na kusearch wee maneno yako hayo uliyopost na putin nimekosa hio habari ipo kwenye blog moja ya Naija ndio imepost hio kitu basi na hakuna website yeyote iliyopost .
Mkuu, usisumbuke, hao ni 'Pro-West' na ramli chonganishi. Putin kawabana pua na mdomo...wanajaribu kutumia 'njia mbadala' kuonyesha maumivu yao.
 
Yaweza kuwa fake news,lakini kuna ukweli ndani yake. kinachoshangaza ni kuwa baada ya kuidhulumu na kuihujumu Africa viongozi wa namna hiyo hawaachi wosia wa kuzikwa ulaya.ina maana wanapenda wazikwe Africa.
 
tusi liko wapi hapo jaman,si kaeleza ukweli mtupu?matajiri na vigogo wana acc nchi za ulaya na wangapi watoto wao wanasoma ulaya?vigogo waaaaaaaaaa tz wanaongoza kutibiwa ulaya.yupo sahihi kama ni kweli kasema ivyo.
Mbona yeye putin anatengeneza bunduki anakuja kuziuza afrika?kwanini asiuze huko huko nchini kwake?
 
Putin akiongea lazima media kama Russia tv na zingine za Russia na media za nje zilizopo urusi wange publish sasa hawaja publish sasa utaipa vipi authenticity ya habar hio..????
Mkuu, nafikiri hajaongea, ame tweet; unataka kunambia mkuu wetu aki tweet TBC hua wanatangaza!? Ile salamu ya kuwatakia ushindi taifa stars through tweeter mbona sijaiona kwenye chombo chochote cha habari!?

Labda tu kweka record sawasawa; nijuavyo motto/binti wa raisi wa zamani wa USA bwana Clinton na yule wa George Bush university level hawakusoma Marekani, in fact hata kwao huko sio kweli kwamba eti watoto wao wote husomea kwenye nchi zao; raisi wa NK kasomea wapi!?
 
Back
Top Bottom