Putin kakanyaga pabaya


Sema umewaza kitu kwann wagner waende hata marekani asaiv anaokoteza tu ili baadae aie amle vizur urusi ila jamaa nae kashtuka
 
Vita imekuea ngumu kwa puttin sababu anapiga kwa kuvizia coz wanajeshi wa kyv wamejichanganya kwa raia na wanapambana wakiwa na ngao ya civillians, wameweka makombora shuleni, hospitali na sehem za watu. Vinginevyo vita ingeshaisha

Duuh aisee kwann urusi anashindwa kupiga bomu moja la nyuklia marekani alipewa ridhaa na nan kutupa bomu japani
 
Acha kuandika Kwa muhemko, Et kanyaga pabaya.

Bush alimuua Sadam, licha ya kushindwa kuthibitisha madai ya Silaha sumu, alipeleka ICC??.


Ukishakua na Silaha za Nyukilia, Wamagharibi wanabaki kua kama Mbwa Koko tu wanabweka huku wameufyataaa mkia.

Aisee marekani yeye muda wote yuko sahihi nan alimuwekea vikwazo marekani usijifariji kabisa putin kawekewa bunchs of problem ambazo ztamuua baada ya miaka 10
 
Hayo mambo wanayaweza kwa makapuku, urusi alichofanyiwa kipindi cha vita baridi na bado kafufuka anawasumbua mahasimu wake,,,,, hao wamagharibi ndo walijisahau wakajua kazi wameimaliza kumbe ndo kwanza inaanza
 
Kabla ya Kuandika Chochote Fanya Utafiti , Hivi Ndani Ya Mwezi Huu Bank Ngap Ulaya Na Marekani Zinakaribia Kufilisika ...! Ulaya Uchumi Umeyumbaa

Saw ila
Urusi kapoteza vitu vingapi bomba lake la mafuta marekani kakili kalipasua yeye na urusi hana cha kumfanya jamaa
 
Aisee marekani yeye muda wote yuko sahihi nan alimuwekea vikwazo marekani usijifariji kabisa putin kawekewa bunchs of problem ambazo ztamuua baada ya miaka 10
Tunachokiona wamagharibi ndo kila kitu kinakufa kuanzia uchumi mambo yapo ovyo, mrusi anakula kuku kwa mrija
 
nchi gani inayofanya vizuri kiuchumi maana marekani hadi mabenk yanafirisika

Marekan kumbuka anafanya biashara tena kwa faida kubwa anauzia ulaya hapo
Hapo
Ulaya wameacha kutumia mafuta ya urusi na gas
 
Tunachokiona wamagharibi ndo kila kitu kinakufa kuanzia uchumi mambo yapo ovyo, mrusi anakula kuku kwa mrija

Sawa muda tu utaongea marekani n dude kubwa sana dunian yaan lenye mikono mingi
 
Yaan putin alitakiwa kumaliza vita ndan ya muda mfupi sana hii long term anajitengenezea shimo
Vita na Ukraine alishamaliza muda! Sasa hivi anapambana na NATO ndani ya Ukraine.Na US n NATO wameshaona ni mziki mzito kwa hiyo lazima watafute gia nyingine.
 
ICC ni kwa ajili ya kina Bosco Ntaganda na vibaka wengine wa aina hiyo wanaovamia vijiji na kuacha wamechoma mashamba na kubaka wanyama sio watu design ya Putin. Hivi nani wa kumkamata ampeleke ICC?
 
Hao ICC walishindwa kumkamata Omar al-Bashir akiwa raisi wa Sudan ndio wataweza kumkamata Putin. Hizo ni ngonjera tu za kujifurahisha mahakama yenyewe ambayo ilishindwa hata kuwakamata wanajeshi wa marekani iliyowatuhumu kufanya makosa ya kivita trump akataka iwekea vikwazo akafyata mkia nani anaweza kuisikiliza.
Itasumbua huko Afrika ila si kumkamata Putin
 
Hapo naona US na NATO ni kama bondia aliyeshindwa pambano na sasa anaokota mawe kumpiga mpinzani wake! US n NATO wameshafeli Ukraine kilichobaki wanatafuta njia nyingine za kujivua aibu. ICC haiana cho chote kabisa.
 
Broo!!!wewe endelea kubwia K vant haya mambo ni makubwa si kawaida kuliko uwezo wako wa fikra unazojitahidi kuwasilisha hapa!!!Kwani ukikaa kimya utapungukiwa nini,,,kuliko kuja kijidhalilisha humu jukwaani kwa stori ulizookota kwa vijana wenzako mnao shinda nao saluni kunyoana viduku,,kuweka blichi na kujivunza kudansi mkiwa na mademu wenu wa visendo manyoya na waimba,,,"""Kwikwiii Kwikwii,,,,Jifunze kujifunza zaidi na kuelewa zaidi kabla ya kukurupuka na kujidhalilisha humu,,,Ujue Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan anakatizaga humu,,,jitahidi usionekane wa hovyo!!
 
Yaani unadhani PUTIN ni bosco ntaganda ao?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…