jamaa ana 62.3,anaemfuatia 17.Upigaji kura wa kumchagua Rais wa Russia umemalizika hivi punde na tayari habari ni kwamba Putin amechaguliwa kuwa Rais ya Russia kwa mara ya tatu. Kwa mujibu wa TV ya taifa ya Russia, exit poll inaonyesha kuwa Putin atashinda kwa asimilia 58.3.