Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,494
- 113,590
Wanabodi,
Puppets ni watu ambao wanaamini kila lisemwalo au lifanywalo na mataifa mabeberu ndio right hata kama ni la uongo!.
Natoa darasa dogo la bure jinsi ya kujitambua kama na wewe ni puppet au la, maana kuna baadhi yetu humu ni pupoets wengine kwa kujijua hivyo kuwa puppets kwa makusudi lakini wengine bila kujijua wao wanajihesabu ni wazalendo wa kweli wa nchi hii lakini at the end of the day huishia kuwa puppets, hawa ni wa kusaidiwa kujitambua zaidi na hivyo kuoachana na u puppets na kugeuka wazalendo wa kweli!.
Kipimo cha kujijua kama wewe uu miongoni mwa wazalendo wa kweli au uu miongoni mwa puppets, ni kwa kujiangalia wewe unasisimama kati ya Mabeberu wakuu ambao ni US na wapambe wao wakuu ni UK! katika migogoro ya kimataifa.
Nitatoa mifano michache.
Iraq, Libya na Afghanistan.
Iraq US na washirika wake waliishambulia kwa kisingizio cha kuzitafuta WMD ili waziangamize. Baada ya kuzikosa wakaendeleza mashambulizi mpaka kumuangamiza Saadam kwa kisingizio cha gross human right violation!.
Mmerekani ndipo hapo akaweka msimamo kuwa lazima au uwe nasi au ni adui yetu!. At the end of the day, Mmarekani amesababisha maafa makubwa zaidi kwa wananchi wa Iraq kuliko madhara waliyoyapata katika kipindi chote cha Saadam!.
Katika mgogoro huo, jee wewe ulisimama wapi?. Kama ulisimama na mabeberu jihesabu uu miongoni mwa puppets!.
Vivyo hivyo kwenye mgogoro wa Libya, kama ulisimama na Ghadafi then wewe ni mzalendo wa kweli, lakini kama ulisimama na Waingereza, wewe nawe uu puppets kwa kujijua au bila kujijua!. The same applied to Afghanistan, watu wangapi wasio na hatia wameuwawa na Wamarekani na washirika wao to persue Osoma?!. Only to be found in Pakistan!.
Kuwa puppet kwa kujijua sio kitu kibaya kwa vile unakuwa you have made your choice kuwaunga mkono mabeberu, lakini ukiwa puppet bila kujijua, hii thread ni fursa kwako kujitambua na kubadilika toka puppet na kuwa mzalendo wa kweli!.
Jee wewe umesimama wapi?.
Wasalaam.
Pasco!.
Puppets ni watu ambao wanaamini kila lisemwalo au lifanywalo na mataifa mabeberu ndio right hata kama ni la uongo!.
Natoa darasa dogo la bure jinsi ya kujitambua kama na wewe ni puppet au la, maana kuna baadhi yetu humu ni pupoets wengine kwa kujijua hivyo kuwa puppets kwa makusudi lakini wengine bila kujijua wao wanajihesabu ni wazalendo wa kweli wa nchi hii lakini at the end of the day huishia kuwa puppets, hawa ni wa kusaidiwa kujitambua zaidi na hivyo kuoachana na u puppets na kugeuka wazalendo wa kweli!.
Kipimo cha kujijua kama wewe uu miongoni mwa wazalendo wa kweli au uu miongoni mwa puppets, ni kwa kujiangalia wewe unasisimama kati ya Mabeberu wakuu ambao ni US na wapambe wao wakuu ni UK! katika migogoro ya kimataifa.
Nitatoa mifano michache.
Iraq, Libya na Afghanistan.
Iraq US na washirika wake waliishambulia kwa kisingizio cha kuzitafuta WMD ili waziangamize. Baada ya kuzikosa wakaendeleza mashambulizi mpaka kumuangamiza Saadam kwa kisingizio cha gross human right violation!.
Mmerekani ndipo hapo akaweka msimamo kuwa lazima au uwe nasi au ni adui yetu!. At the end of the day, Mmarekani amesababisha maafa makubwa zaidi kwa wananchi wa Iraq kuliko madhara waliyoyapata katika kipindi chote cha Saadam!.
Katika mgogoro huo, jee wewe ulisimama wapi?. Kama ulisimama na mabeberu jihesabu uu miongoni mwa puppets!.
Vivyo hivyo kwenye mgogoro wa Libya, kama ulisimama na Ghadafi then wewe ni mzalendo wa kweli, lakini kama ulisimama na Waingereza, wewe nawe uu puppets kwa kujijua au bila kujijua!. The same applied to Afghanistan, watu wangapi wasio na hatia wameuwawa na Wamarekani na washirika wao to persue Osoma?!. Only to be found in Pakistan!.
Kuwa puppet kwa kujijua sio kitu kibaya kwa vile unakuwa you have made your choice kuwaunga mkono mabeberu, lakini ukiwa puppet bila kujijua, hii thread ni fursa kwako kujitambua na kubadilika toka puppet na kuwa mzalendo wa kweli!.
Jee wewe umesimama wapi?.
Wasalaam.
Pasco!.