Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,184
- 11,608
Kwanza ni rahisi sana kuvunjika, kuvumiliana ni zero, kusameheana ni finyu mno.
Migogoro na mafarakano kwenye familia hayaishi.
Visasi na vinyongo kama vyote.
Ndoa nyingi ni kama uwanja mapambano au harakati flani tu. Ni mwendo wa kuviziana na kutegeana, nani miongoni mwa wanandoa alianzishe au across the line wa kwanza ili vita, uharibifu na msambaratiko ulipuke.
Kwa mkemia mkuu foleni kwenda kupima DNA ni kubwa sana.
Uhakika wa members wazaliwa kwenye familia za wanandoa ni zero.
Halafu sasa vikumbo na mashindano ya madingii wenye ndoa zao, dhidi ya vijana wanao jipanga na maisha ya ndoa, struggles za kuwin pisi kali baina ya vijana na wazee hao wenye ndoa zao, mchuano ni mkali mno.
Pesa imekua silaha muhimu sana kwenye mapambano haya.
Imefikia mahali nyumbani kwa pisi kali akiingia mzee huyu, akitoka anaingia kijana yule.
Na wote ni walipaji kodi ya nyumba bila kujijua.
Wanapangiwa na pisi kali waje lini.
Na vilevile imekua ni rahisi sana kwa wamama wenye ndoa zao kuchepushwa nnje ya ndoa au kuchepuka nje ya ndoa yake. Imekua rahisi mno siku izi na kawaida kweli.
Nini sababu za yote haya.
Wapi makosa yamefanyika yarekebishwe.
Ndrugu zangu..
Migogoro na mafarakano kwenye familia hayaishi.
Visasi na vinyongo kama vyote.
Ndoa nyingi ni kama uwanja mapambano au harakati flani tu. Ni mwendo wa kuviziana na kutegeana, nani miongoni mwa wanandoa alianzishe au across the line wa kwanza ili vita, uharibifu na msambaratiko ulipuke.
Kwa mkemia mkuu foleni kwenda kupima DNA ni kubwa sana.
Uhakika wa members wazaliwa kwenye familia za wanandoa ni zero.
Halafu sasa vikumbo na mashindano ya madingii wenye ndoa zao, dhidi ya vijana wanao jipanga na maisha ya ndoa, struggles za kuwin pisi kali baina ya vijana na wazee hao wenye ndoa zao, mchuano ni mkali mno.
Pesa imekua silaha muhimu sana kwenye mapambano haya.
Imefikia mahali nyumbani kwa pisi kali akiingia mzee huyu, akitoka anaingia kijana yule.
Na wote ni walipaji kodi ya nyumba bila kujijua.
Wanapangiwa na pisi kali waje lini.
Na vilevile imekua ni rahisi sana kwa wamama wenye ndoa zao kuchepushwa nnje ya ndoa au kuchepuka nje ya ndoa yake. Imekua rahisi mno siku izi na kawaida kweli.
Nini sababu za yote haya.
Wapi makosa yamefanyika yarekebishwe.
Ndrugu zangu..