Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

Mkuu hiki chama(invisible) ambacho members ni invisible, na mwenyekiti ni invisible bora utoke mkuu kina madhara ya kudhalilisha mkuu. Chaputa kifutiwe usajili
Ushasema chama invisible
Hata usajili wake invisible...
Wapiga ngunga wengi sanasana uboizini ni nomaa huko watu wanaPiga mara mia nane kwa siku invisible
 
Sawa mkuu..

So hiyo puli huwa mnafanyaje?
Puli,nyeto,ngunga,kofiolomide,kujichua,puchu,shakaMifwa,mkoNoeksi,banjuKazero
Hayo ni idadi ya majina ya zoezi la kujipa raha mwenyewe yani unajisugua na mkono ili upate ladha bandia inayopatikana kwenye uke,
Mahitaji
Mkono
Sabuni/mafuta
Picha ya mrembo mfano.beyonce,rihana,..nk

Jinsi ya kufanya
Vuta hisia kali grade one za malavidavi ukiwa na beyonce alafu ameUNnguo kabaki naked
Sasa abuu kichwa wazi akiwa amepandisha 4g anza kwa kupeleka mkono kama unambana hapa utachagua size yako hahaha ukitaka msima,cha mtoto wa shule unajipimia bando lako
Jisuguuuuuuuuuue mpaka uone
Utamu wa karne ya 27
Mpaka wazungu watoke
A.k.a benpol tako tatu wazungu mwaaa
Aisee hiyo ndio Ngunga
Nilikuwa muhanga
Ila
Najilipuaga mara moja moja
Maana jasiri haachi asili
Nataniaaa tu
 
mkuu miaka 6 umenizidi ila mimi nimefanikiwa kuacha mwaka jana tofauti yetu wewe madhara yalishakua makubwa, hongera na karibu kwenye ulimwengu mpya.
Dawa ya punyere/CHAPUTA uache luang alia xvideo
 
Hivi sasa nina hamu sana jamani, yaani sana tu, hata kama kuna mwanadada member wa MMU anataka kuthibitisha hili basi aje tu inbox, nipo tayari kumuonesha hili.

Ujumbe umefika ngoja wake pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wapend
Natumai mu wazma ndani ya jukwaa letu siku ya leo..

Kuna haka kamchezo tunako kaita NYETO ingawa nakataja kwa kukapa udogo ila ni serious ishu kwamba ni tatizo KUBWA kupita maeleza hasa katika ulimwengu huu wa sasa.

Kutokana na tatzo hili kuwatesa wengi pia kuna watu walioingia kwenye swala hili na baadae kufanikiwa kutoka kwenye hili shimo lisilokuwa na kingo za kupandia ili kuweza kujitoa bali ni kwa juhudi zako unazozijua wewe ndizo zitakazoweza kukuweka mahala salama.

Je! Kwa wale walioweza kujitoa kwenye hii sehemu , uliwezaje kujitoa na je ni mabadiliko gani ulioyaona baada ya kujitoa kwenye huu mkumbo???

DHUMUNI
-----------------

JE. Kama ukiweza kujitoa kwenye hiki chama (CHAPUTA) kuna uwezekano wa ku recovery effects ulizozipataga kwenye huu mchezo??

BINAFSI
--------------

Ni muathirika wa janga hili kwa muda wa takriban 8 years. Hapo mwanzo nilikuwa napiga 5 times up to 6 times per month na ni one kick (bao moja tu)
Now napiga mara mbili(2) kwa mwezi na ni also bao moja tu means ndani ya mwezi napiga bao mbili tu(2)

Nataka kushare na wale waliowahi kuacha ama wanaohitaji kuacha.

Kama umesign uhusika wa kudumu wa CHAPUTA (yani huna lengo la kuacha) Uzi haukuhusu

Sababu

NAJUA mtanipopoa tuu kwakuwa mnaenda kumpoteza mwanachama wenu

LET'S TALK.........
 
Kuacha punyeto, hatua muhimu

1. Kuna muda itakuboa utaona haikidhi mahitaji yako,( ndio hapo unaposema zamani ulikuwa unapiga bao 5 no unapiga bao 2 kwa mwezi) tayari ishaanza kukataa.

2. Tafuta demu mwenza wa kukidhi haja zako na uweke fikra zako kwake, zikipanda akili yako inamuwaza yeye tuu ndio wakuzishusha.

3 kaa mbali na porno kuwa busy kiakili na kimwili fikiria sana kuhusu pesa, maisha kaa na watu usikae sana peke yako jaribu sana kuji engage na shughuli mbali hasa za kuchosha mwili na akili.

4. Usilazimishe kuacha punyeto kwa ghafla ni process unakwenda mdogo mdogo. Ifike mahali liwe last resolve sio kipaumbele (kama chakula kwamba lazima ule)

5.muhimu sana husiwe na image za wanawake wako kichwani, jenga mazoea na wanawake real unakutana nao jifunze kuvutiwa nao, hacha kujenga image ya maporn actress au wale mademu wa insta.
 
Back
Top Bottom