Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

pole sana haikikisha hurudi kwenye hiyo hali, umenikumbusha kuna siku nilikua naingia kwenye toilet ya chuo flani wakati namsubiri jamaa atoke alafu mlango ulikua haujafungwa vizuri kwahiyo nilikua naweza muona mtu kupititia tiles za ukutani kwa anachofanya, alivyo toka nikamwambia kijana omba sana mungu akupe nguvu ya kuacha.
umeshinda vita mkuu
 
dawa kuacha punyeto ni tatu tu

1) kuacha kutizama porno

2) kuwa na demu wa uhakika

3)kupiga tizi yaaani zoezi haswa
 
The beliefs (kuishiwa nguvu za kiume) that you hold deep at your subconscious mind have tremendous effect in the reality you experience in your life.

If u hold negative believe (kuishiwa nguvu za kiume) at your subconscious mind,you will tend to experience negative reality in your life.

A man become what he thinks about most of time....
 
Chaputa kutoka siyo rahisi ase kauli mbiu ya chaputa ukiingia tu unaapishwa kwa kusema
"Chaputa Mimi na wewe milele labda nife Mimi au ufe wewe"
Mimi nilishajaribu kuacha kwa miezi miwili ila nilianza kuwa mtu wa stress sana moyo ukaanza kuwa na hofu kwa kila kitu.. Yan mfumo wa mwil ukabadilika kabisa, kuachana na chaputa ni rahis sana kama ukiwa na mke vinginevyo utajikuta umerudisha mpira kwa kipa
 
Chaputa kutoka siyo rahisi ase kauli mbiu ya chaputa ukiingia tu unaapishwa kwa kusema
"Chaputa Mimi na wewe milele labda nife Mimi au ufe wewe"
Mimi nilishajaribu kuacha kwa miezi miwili ila nilianza kuwa mtu wa stress sana moyo ukaanza kuwa na hofu kwa kila kitu.. Yan mfumo wa mwil ukabadilika kabisa, kuachana na chaputa ni rahis sana kama ukiwa na mke vinginevyo utajikuta umerudisha mpira kwa kipa
una pepo ndani yako
 
Chaputa kuacha ni ngumu sana maana hata ukiwa na mpenzi bado kupata penzi sio 100%
Kwa mwez unaweza pata mara1 au mbili
 
Ndo ukweli huo huwez kuwa rijali alaf usiwe na mke wal Dem unaeweza kumpata kwa wakati ukimuhitaji alaf uweze kuacha nyeto, hapo labda uwe gasho
Mfano mimi dame wangu kanambia mpaka december ndo anaweza sex so hapa katikati naishi vipi?
 
Mfano mimi dame wangu kanambia mpaka december ndo anaweza sex so hapa katikati naishi vipi?
Mkuu kuna watu weng sana wapo kwenye ndoa ila ndo wamezidi kuwa waathirika zaid wa chaputa unakuta mke anakaza hatoi mzigo, mkuu ukiacha nyeto na hauna sehem.ya kukidhi mahitaj yako unaweza kudhalilika watu wanaobaka huwa wanajuta baada ya tukio kwa maana kuna msukumo flan wa ndan huwa unawasukuma kufanya hivyo. .
Angalau ukiwa mwana chama wa chaputa unaweza kupunguza mihemko
 
Mfano mimi dame wangu kanambia mpaka december ndo anaweza sex so hapa katikati naishi vipi?
Manzi anakukazia hakupi mzigo had awe na hamu yeye siku we ukiwa vibaya anakukazia, ile yey akiwa vibay ndo anajileta kwakua kashindwa kuvumilia
 
Ha. Ha. Ha.

Unahitaji dakika ngapi kufyatua kimoja mkuu?

Mwili wa binadamu uchoke ushindwe kudindisha au?

Amua kuacha au tafuta mbadala. Hakuna tricks hapo.
 
Mfano mimi dame wangu kanambia mpaka december ndo anaweza sex so hapa katikati naishi vipi?
Afu unamuhudumia au mnachat tu mnajifurahisha? Mimi miezi miwili tu yalinishinda. Japo nilikuwa napiga nyingine ila ile ya kukosa puxy yake for muda wote huo bila sababu za msingi halikuweza kuregister kichwani.
 
Manzi anakukazia hakupi mzigo had awe na hamu yeye siku we ukiwa vibaya anakukazia, ile yey akiwa vibay ndo anajileta kwakua kashindwa kuvumilia
Hata huyu wangu huwa ana hizo pigo eti akijickia yeye ndo akuletee asa huo ni utopolo gani[emoji52]
 
Afu unamuhudumia au mnachat tu mnajifurahisha? Mimi miezi miwili tu yalinishinda. Japo nilikuwa napiga nyingine ila ile ya kukosa puxy yake for muda wote huo bila sababu za msingi halikuweza kuregister kichwani.
Huduma zinaendelea akiwa na shida anakuomba
 
Back
Top Bottom