Mwambie huyo demon awe anatupa ela ya bundle ili kazi yake iende vyema.
Vpn na telegram kunamaliza sana bundle.
Aongee na mama gharama za vifurushi zipungue.
Kuna siku nilikuwa Nigeria,nikaenda kusali kwenye Ministry moja hivi. Nikaona jamaa wawili wakiomba wafanyiwe maombi maalumu kuacha punyeto. Kumbe ni serious case
Watu wanaongoza kwa punyeto na kufa kwa kujichua duniani ni Ujerumani... Sasa sijui kama ujerumani ni Africa hadi nikaangalie kwenye ramani ndiyo nitapata jibu sahihi..