Myloo
New Member
- Jul 13, 2021
- 1
- 11
Jama kwani hapa Tanzania hakuna wanaharakati wanaojihusisha na haki za wanyama?
Maana hapa Katoro Geita Punda wanateswa sana yani wanabeba tofali asubuh hadi saa 9pm. Njia zenyewe makorongo tupu yani punda unawahurumia, nakumbuka kipindi cha JPM walikuwa wanafanyishwa kazi kuanzia asubuhi mwisho saa 10:00am lakini sasa hivi duh yani punda wana vidonda balaa kwa yale mateso hapana kwakweli
Maana hapa Katoro Geita Punda wanateswa sana yani wanabeba tofali asubuh hadi saa 9pm. Njia zenyewe makorongo tupu yani punda unawahurumia, nakumbuka kipindi cha JPM walikuwa wanafanyishwa kazi kuanzia asubuhi mwisho saa 10:00am lakini sasa hivi duh yani punda wana vidonda balaa kwa yale mateso hapana kwakweli