Waingereza zamani hapo walikuwa wanatoa vibali kwa baadhi ya wananchi kulinda wanyama wakiteshwa.Nadhani wapo sema ndio ivyo hamna anaejali.
Uzuri punda hajasoma ila kazi hakosi.Elimu ingekuwa viboko punda angekuwa UDOM
punda wanaliwa?Wala punda Singida wao wanasemaje?
nitajie mnyama gani ambaye haliwi hapa duniani?punda wanaliwa?