Leo ni siku ambayo umenijia sana akilini mwang ikiwa ni miaka sita tangu ulipotutoka mdogo wangu Rose ukiwa na miaka 12 ni kumbu kumbu mbaya ambayo haitafutika katika ubongo wangunimelia sana , nimemlaumu Mungu sana lakini sasa naanza kuamini kuwa sintakuona tena duniani,,Nakuombea pumziko la milele nategemea siku moja tutakuwa wote Mbinguni tukifurahia uzima wa milele