Mhere Mwita
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 235
- 1,275
-------------------------------------------------------------------------
Pumzika kwa Amani Kaimu Katibu Msaidizi wa UVCCM Wilaya ya kibaha Mjini Ndugu Albert Ngwada ukweli nimaskitiko makubwa kweli kwa ndugu zako kwani ulikuwa ni tegemeo kwao.
Mimi nilipopata Ajali Chadema kilijali sana walinihudumia kila kitu mpaka nikaona aibu nikaona nitangaze kuuza kiwanja changu ili nipate matibabu kwani kimeokoa maisha yangu kwa hiyo matibabu madogo madogo ninatakiwa kujitibisha Mwenyewe.
Vijana wa CCM walianzisha Propaganda ya kuwa eti Chadema kimenitelekeza ili chama changu Pendwa kiweze kuchafuka mbele ya jamii lakini Mimi nilisimama nacho imara.
Wewe Ndugu Albert ni mda Mrefu umepata ajari CCM hakijachukua hatua yoyote ya kupata matibabu wamekutelekeza mpaka umefia Nyumbani rafiki yako wa karbu ameniambia.
Cha ajabu hata tu humu Facebook sijaona hata picha yako moja ya kukuombea pole ulipopata Ajali walikusahau na Leo Umekufa hata mmoja sijamuona akikuambia upumzike kwa Amani wanapost habari ya Masha aliowasaliti Leo wanafurahia kurudi kwao wakati hawaskitika kuondoka wewe uliokuwa mtiifu kwao.
Wangweze kukupeleka nje kwani wao ni chama tawala wanakila kitu CCM ilikutumia siku ya kampeni zilipoisha ukatupwa kama Karai Kweli hii ni Roho ya kishetani Pumzika kwa Amani Kada.