Hashim Jirini
Member
- Aug 12, 2016
- 61
- 17
Hahahah napitaKamanda amechanganyikiwa.
Hahahah napitaKamanda amechanganyikiwa.
Baba Ubaya hahahah!aisee kweli hii??
japo umekitetea chama chako ila tulisikia kuwa nacho kilikutenda vivyo hivyo...
ila ccm ya JK sio sawa na ya Baba Ubaya
Safi sana. umemuumbuaWe jamaa ulitelekezwa mpaka ukauza kiwanja ili ujitibu. Badae ukaamua kuisafisha CHADEMA ila ulikuwa ushachelewa maana watu wako wa karibu walishaongea kila kitu.
Ushahidi => CHADEMA wamtelekeza Mwenyekiti wa BAVICHA wilaya ya Geita, Mhere Mwita baada ya kupata ajali Dodoma
=> Masikitiko: CHADEMA pesa ya ruzuku ni kwa ajili ya nini? haitumiki kutibu viongozi?
Mtu anayehudumiwa na chama hawezi kufikia uamuzi wa kuuza kiwanja ili akajitibie, ndugu ya Mhere Mwita stuka huko hakukufai, mimi nilikimbia baada ya kuona nafasi nyeti wanapeana wakaskazini.
Naona anaitwa Mwita, bila Shaka anatoka kanda maalum na sina hakika Kama Yale mahekari yote ya lile zao yalishaisha kuteketezwa.kuna kilevi utakua umetumia kabla ya kupost
Muongo mzuri ni yule anayekuwa na KUMBUKUMBU piaKamanda amechanganyikiwa.
mna mipasho kama mwenyekiti wenu. pyu pyu pyukuna kilevi utakua umetumia kabla ya kupost
Anajitoa ufahamu huyu .... alidhani hatukumbuki ... halafu kajificha uvunguni haonekani atiDogo haoni mwenzake Lissu anavyopata matibabu Nairobi yeye mpaka akataka kuuza kiwanja sa hv anakuja kutokwa povu hahaaaaa eti CCM wangempeleka nje yeye Mhere Mwita alipovunjika Dodoma alipelekwa nje? Zaidi aliishia kisimangwa na wachaga kina Malisa kuwa futa haraka hiyo comment yako naye akatii mwenzake Lissu fasta alipandishwa ndege yy akabaki kulia lia mpaka leo sizan hata kama alisharudi chuo
Big up kiongozi ...... Wanaomuunga mkono na kumpa likes ktk hili .... akili zao na za huyu "kamanda anaetafuta kiki" hazina akili piaNi jambo mbaya sana kwa mtu aliye hai kutumia jina la marehemu hasa matatizo ya marehemu tena kwenye media ili kujipatia kiki au sifa za kisiasa.
Haijalishi chama cha marehemu ila vitendo vya hivyo ni vya kinyama hata kama kitafanywa na wafuasi wa CCM, CUF, CDM or whoever!!
Mhere Mwita, nimeishi na wakurya kwenye baadhi ya maeneo hapo Tanzania ila sijawahi kuona tabia kama hii uliyoionesha hapa.
Kwa heshima yako, jamii yako ya kikurya na kumheshimu marehemu waombe tu mods wa JF waufute huu Uzi.
Siyo ungwana kabisa kwa ulichokiandika tena kwa kuweka hadi picha za marehemu mtandaoni.
Hebu jiulize, ndugu wa marehemu wanajisikiaje kuona huu Uzi wako!?
Safi sana. umemuumbua
Chadema kimenitolea zaidi ya million 10 kuanzia usafiri wa kutoka dodoma mpaka mhimbili matibabu yote mhimbili chakula na vitu vingine.We jamaa ulitelekezwa mpaka ukauza kiwanja ili ujitibu. Badae ukaamua kuisafisha CHADEMA ila ulikuwa ushachelewa maana watu wako wa karibu walishaongea kila kitu.
Ushahidi => CHADEMA wamtelekeza Mwenyekiti wa BAVICHA wilaya ya Geita, Mhere Mwita baada ya kupata ajali Dodoma
=> Masikitiko: CHADEMA pesa ya ruzuku ni kwa ajili ya nini? haitumiki kutibu viongozi?
Mtu anayehudumiwa na chama hawezi kufikia uamuzi wa kuuza kiwanja ili akajitibie, ndugu ya Mhere Mwita stuka huko hakukufai, mimi nilikimbia baada ya kuona nafasi nyeti wanapeana wakaskazini.
Mngemsaidia kada wenu kuepusha haya yote.kuna kilevi utakua umetumia kabla ya kupost
Wewe ni kichaa na mwehu...Chadema kimenitolea zaidi ya million 10 kuanzia usafiri wa kutoka dodoma mpaka mhimbili matibabu yote mhimbili chakula na vitu vingine.
Baada ya kazi kubwa Chadema iliyonifanyia kama Kiongozi wao baba yangu akaniomba nilirudi nyumbani niliporudi nyumbani.
Ndipo nikaamua kufanya maamuzi ya kutaka kuuza kiwanja changu sio kwa sababu chama kimenitekeza hapana Bali matibabu zaidi ya familia yetu yalikuwa yanahitajika sio kukitegemea chama tu.
Eehee CCM Bwana ukweli Haswa wanaroho mbaya kweli,mpaka utekeleze ubaya ndio wakusaidie,huko tutakokwenda Mungu mkubwa.kuna kilevi utakua umetumia kabla ya kupost
↑Wewe ni kichaa na mwehu...
Si kila kitu ni cha kusema mitandaoni.
Aisee, inaumwa sana.Dogo haoni mwenzake Lissu anavyopata matibabu Nairobi yeye mpaka akataka kuuza kiwanja sa hv anakuja kutokwa povu hahaaaaa eti CCM wangempeleka nje yeye Mhere Mwita alipovunjika Dodoma alipelekwa nje? Zaidi aliishia kisimangwa na wachaga kina Malisa kuwa futa haraka hiyo comment yako naye akatii mwenzake Lissu fasta alipandishwa ndege yy akabaki kulia lia mpaka leo sizan hata kama alisharudi chuo