Pumzika kwa amani kada wa CCM, kweli ulitelekezwa

We jamaa ulitelekezwa mpaka ukauza kiwanja ili ujitibu. Badae ukaamua kuisafisha CHADEMA ila ulikuwa ushachelewa maana watu wako wa karibu walishaongea kila kitu.

Ushahidi => CHADEMA wamtelekeza Mwenyekiti wa BAVICHA wilaya ya Geita, Mhere Mwita baada ya kupata ajali Dodoma

=> Masikitiko: CHADEMA pesa ya ruzuku ni kwa ajili ya nini? haitumiki kutibu viongozi?

Mtu anayehudumiwa na chama hawezi kufikia uamuzi wa kuuza kiwanja ili akajitibie, ndugu ya Mhere Mwita stuka huko hakukufai, mimi nilikimbia baada ya kuona nafasi nyeti wanapeana wakaskazini.

Safi sana. umemuumbua
 
Ni jambo mbaya sana kwa mtu aliye hai kutumia jina la marehemu hasa matatizo ya marehemu tena kwenye media ili kujipatia kiki au sifa za kisiasa.
Haijalishi chama cha marehemu ila vitendo vya hivyo ni vya kinyama hata kama kitafanywa na wafuasi wa CCM, CUF, CDM or whoever!!

Mhere Mwita, nimeishi na wakurya kwenye baadhi ya maeneo hapo Tanzania ila sijawahi kuona tabia kama hii uliyoionesha hapa.

Kwa heshima yako, jamii yako ya kikurya na kumheshimu marehemu waombe tu mods wa JF waufute huu Uzi.

Siyo ungwana kabisa kwa ulichokiandika tena kwa kuweka hadi picha za marehemu mtandaoni.

Hebu jiulize, ndugu wa marehemu wanajisikiaje kuona huu Uzi wako!?
 
Hivi hawa vijana wanafundishwa maadili ya msingi? Ndio ukamanda huu hadi kwenye misiba? Btw hawana muongozo hawa ....kila mtu anaamka na lake na kutupia mitandaoni akifikiri ndio anajenga chama ....
 
Dogo haoni mwenzake Lissu anavyopata matibabu Nairobi yeye mpaka akataka kuuza kiwanja sa hv anakuja kutokwa povu hahaaaaa eti CCM wangempeleka nje yeye Mhere Mwita alipovunjika Dodoma alipelekwa nje? Zaidi aliishia kisimangwa na wachaga kina Malisa kuwa futa haraka hiyo comment yako naye akatii mwenzake Lissu fasta alipandishwa ndege yy akabaki kulia lia mpaka leo sizan hata kama alisharudi chuo
Anajitoa ufahamu huyu .... alidhani hatukumbuki ... halafu kajificha uvunguni haonekani ati
 
Ni jambo mbaya sana kwa mtu aliye hai kutumia jina la marehemu hasa matatizo ya marehemu tena kwenye media ili kujipatia kiki au sifa za kisiasa.
Haijalishi chama cha marehemu ila vitendo vya hivyo ni vya kinyama hata kama kitafanywa na wafuasi wa CCM, CUF, CDM or whoever!!

Mhere Mwita, nimeishi na wakurya kwenye baadhi ya maeneo hapo Tanzania ila sijawahi kuona tabia kama hii uliyoionesha hapa.

Kwa heshima yako, jamii yako ya kikurya na kumheshimu marehemu waombe tu mods wa JF waufute huu Uzi.

Siyo ungwana kabisa kwa ulichokiandika tena kwa kuweka hadi picha za marehemu mtandaoni.

Hebu jiulize, ndugu wa marehemu wanajisikiaje kuona huu Uzi wako!?
Big up kiongozi ...... Wanaomuunga mkono na kumpa likes ktk hili .... akili zao na za huyu "kamanda anaetafuta kiki" hazina akili pia
 
Safi sana. umemuumbua
IMG-20170617-WA0015.jpeg
Ni MNAFIKI kama haoooooooooooo MAKAMANDA wenzie ..... They're like CHAMELEON ..... In the morning they look YELLOW, in the afternoon RED in color but in the down very BLACK
 
We jamaa ulitelekezwa mpaka ukauza kiwanja ili ujitibu. Badae ukaamua kuisafisha CHADEMA ila ulikuwa ushachelewa maana watu wako wa karibu walishaongea kila kitu.

Ushahidi => CHADEMA wamtelekeza Mwenyekiti wa BAVICHA wilaya ya Geita, Mhere Mwita baada ya kupata ajali Dodoma

=> Masikitiko: CHADEMA pesa ya ruzuku ni kwa ajili ya nini? haitumiki kutibu viongozi?

Mtu anayehudumiwa na chama hawezi kufikia uamuzi wa kuuza kiwanja ili akajitibie, ndugu ya Mhere Mwita stuka huko hakukufai, mimi nilikimbia baada ya kuona nafasi nyeti wanapeana wakaskazini.

Chadema kimenitolea zaidi ya million 10 kuanzia usafiri wa kutoka dodoma mpaka mhimbili matibabu yote mhimbili chakula na vitu vingine.

Baada ya kazi kubwa Chadema iliyonifanyia kama Kiongozi wao baba yangu akaniomba nilirudi nyumbani niliporudi nyumbani.

Ndipo nikaamua kufanya maamuzi ya kutaka kuuza kiwanja changu sio kwa sababu chama kimenitekeza hapana Bali matibabu zaidi ya familia yetu yalikuwa yanahitajika sio kukitegemea chama tu.
 
Hizi habari ni za kweli kwa maana Lumumba book7 wote wanamshambulia mleta mada badala ya kujadili maudhui ya mada yenyewe.
 
Wewe wamekupa milioni 10 tena za masimango kutoka kwa kina Malisa mwenzako Lissu mpaka sasa wamempa shilingi ngapi?
 
Chadema kimenitolea zaidi ya million 10 kuanzia usafiri wa kutoka dodoma mpaka mhimbili matibabu yote mhimbili chakula na vitu vingine.

Baada ya kazi kubwa Chadema iliyonifanyia kama Kiongozi wao baba yangu akaniomba nilirudi nyumbani niliporudi nyumbani.

Ndipo nikaamua kufanya maamuzi ya kutaka kuuza kiwanja changu sio kwa sababu chama kimenitekeza hapana Bali matibabu zaidi ya familia yetu yalikuwa yanahitajika sio kukitegemea chama tu.
Wewe ni kichaa na mwehu...

Si kila kitu ni cha kusema mitandaoni.
 
Wewe ni kichaa na mwehu...

Si kila kitu ni cha kusema mitandaoni.

kuna kilevi utakua umetumia kabla ya kupost
Eehee CCM Bwana ukweli Haswa wanaroho mbaya kweli,mpaka utekeleze ubaya ndio wakusaidie,huko tutakokwenda Mungu mkubwa.
 
Dogo haoni mwenzake Lissu anavyopata matibabu Nairobi yeye mpaka akataka kuuza kiwanja sa hv anakuja kutokwa povu hahaaaaa eti CCM wangempeleka nje yeye Mhere Mwita alipovunjika Dodoma alipelekwa nje? Zaidi aliishia kisimangwa na wachaga kina Malisa kuwa futa haraka hiyo comment yako naye akatii mwenzake Lissu fasta alipandishwa ndege yy akabaki kulia lia mpaka leo sizan hata kama alisharudi chuo
Aisee, inaumwa sana.
 
Back
Top Bottom