Public reacts to Dar road privatisation plans

Mama

Naomba tafsiri ya hii sentensi; umeniacha hoi bin taabani.

Pole sana kwa kukua hoi tena bin taabani, duh, Mungu atakusaidia utakuwa sawa.

Nafikiria jinsi ya kukutafsiria hiyo sentensi nashindwa nianzie wapi. Hebu kwanza nieleze ulivyoelewa ili nijue tatizo lako liko wapi.
 
Pamoja na mabaya yote ya ubinafsishaji, hebu na tuangalie kwa mtizamo chanya suala hili la privatisation of roads.Kama kutakuwa na usimamizi mzuri, hatuoni kwamba pengine itakuwa suluhisho kwa ubora wa barabara zetu ambazo ni kama hazipo? Ofcourse kuna mambo ya kuzingatia kabla ya ubinafsishaji huo maana nchi nyingine wamefanya hivyo na matokeo ni kuwa na barabara zenye ubora!
 
WomenofSubstanc,
Usiache kupitia post namber 2 na namba 11




.

comrade
Nimeona.Nadhani wananchi wameshaumwa na nyoka mara nyingi mno.Wakiona unyasi wanashtuka kupita maelezo.Ni haki kabisa wawe na hofu maana there are so many unfinished biz.Serikali ndio ielewe imani ya wananchi kwa serikali inazidi kuwa haba siku hadoi siku.Itakuwa ngumu sana kuuza sera, mipango au hata mikakati inayohusisha fedha au rasilimali.
 
Niliwaambia siku moja wazee fulani tutaambiwa hata wake/waume zetu wabinafsishwe wakabisha! Sasa tunaelekea wapi? Kama parking ya gari tu inaleta balaa ni barabara inayopitwa na kila mtu. Iko siku mtaambiwa hakuna kupita hapa, hii ni mali yangu,,, haya we mengi yaja na tusubiri!
 
Well done DSM city Authority,
The public is asleep, there is no better way of awakening it other this continuation of increasing the burden on their shoulders.
We continue hailing JK and CCM for the good policies, and privatisation is one of them. Let us therefore not be surprised by this move - soon they will come with a way of privatising oxygen!!
"Power doesn't concede. The status quo does not simply give up. Change doesn't come without a fight. Get involved." – Barack Obama
Tuamke wote, nchi ni yetu sote na tutadidimia sote.
 
Masikini CCM ya leo.

A point I make..Nahisi Mawaziri wote wamerogwa na wamechanganyikiwa na aliyewaloga ni fisadi mkuu na lazima atakuwa mtu anayependa sana kucheka cheka.
 
Pamoja na mabaya yote ya ubinafsishaji, hebu na tuangalie kwa mtizamo chanya suala hili la privatisation of roads.Kama kutakuwa na usimamizi mzuri, hatuoni kwamba pengine itakuwa suluhisho kwa ubora wa barabara zetu ambazo ni kama hazipo? Ofcourse kuna mambo ya kuzingatia kabla ya ubinafsishaji huo maana nchi nyingine wamefanya hivyo na matokeo ni kuwa na barabara zenye ubora!
Hakuna Mtizamo chanya katika ubinafsishaji TZ. Ni wapi tunaweza kusema tumefanya vizuri sana? Unaweza kujaribu mambo ambayo ni rahisi kuyareverse ili in case yakiharibika basi unarudi nyuma, lakini privatisation is no easily reversible and when you try it, the cost of reversing is very high.
HATUWEZI KUENDELEA KUONJA SUMU!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom