Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 888
Hivi hiyo "Self made" ina maana Forbes wameshindwa kubaini chanzo cha utajiri wake siyo?
Rostam ana mali mpaka Kenya na Uswiss. Ila leo media zote za Tanzania kimya. Rostam ndiye mfadhili mkuu wa Lowassa tokea zamani na pia ni business partner wake. Leo Chadema kimyaaa!
Ngoja tuendelee kukumbushana!
Rostam ana mali mpaka Kenya na Uswiss. Ila leo media zote za Tanzania kimya. Rostam ndiye mfadhili mkuu wa Lowassa tokea zamani na pia ni business partner wake. Leo Chadema kimyaaa!
Ngoja tuendelee kukumbushana!