PUBG mobile

Hahah Mimi nipo middle sio wala pro ila ukiingia anga zangu unakula za kichwa. hii ndo account yangu sema nilibadili server nilianza na upya.
Screenshot_2022-05-15-18-13-10-043_com.tencent.ig.jpg
 
Wenye hili game tupeane mbinu na maujanja ya jinsi ya kutumia silaha na kuibuka mshindi wa vita katika pambano maana sasa hivi nakula sana za kichwa kwenye Ranked

Sasa hv wanapanga mechi kutokana na rankings Mzee tofaut na zaman boti kibao ila sasa hiv kma upo Ace tegemea ktk wale 100 Ace Wapi 90 ni kichapo tuu
 
Haha, mimi niko katikati, sio mtaalamu, lakini ukiingia kwenye anga yangu, unakula kichwa. sio akaunti yangu inasema nilibadilisha seva niliyoanzisha na kuanza tena na pubg mobile apk mod
 
Back
Top Bottom