Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Mku
Mh hapa sasa ndio penyewe nimekua nikifanya kitu nahisi kama kuna siku nilishakifanya lakin tatizo sikumbuki ni wapi na lini kwa mfano naweza kukutana na mtu popote pale iwe njiani au kwenye gari na tukianza kupiga piga stori nakuwa kama napata picha ya hayo tunayozungumzia yalishapita lakini kiuhalisia haijawahi kutokea, hapa nitakua katika kundi gani mkuu Pasco
Mkuu hata mimi hii huwa inanitokea sana,mara nyingi huwa inakuja kumbukumbu ya mavazi na mazingira tuliyopo na wakati mwingine hata mazungumzo huwa yanajirudia exactly kama yale yale niliyowahi kuyafikiria nyuma
 
Oogh!Give Thanks And Praise To The Lord!
Hapa Sasa Ndio Tulipokuwa Tunahitaji Kufika Mkuu Rakims,asante Sana Kwa Darasa Hili Mazingatio Yatawekwa Katika Kila Hatua Na Ninatoa Wito Wale Viherehere Wenye Tabia Ya Kuvuruga Tunaomba Mkae Kimya Sasa Watu Wanataka Kufanya Mambo Hapa Jukwaa Hili Sasa Kama Maswali Ni Kwa Hoja Aliyoileta Mwalimu Na Akaonyesha Kwamba Hiyo Ikihojiwa Haitatutoa Nje Ya Mada Tafadhali.
The Home Of Great Thinkers Ionekane Hapa Sasa .
Thanks Rakims And Welcome Again
Wanabodi,
Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, mfano, "Miujiza ya Ukweli!".

Kitu chenye nguvu kabisa katika mwili wa binadamu ni nguvu inayoitwa "Will Powers" ambayo kila binadamu, anazaliwa nayo, ila wengine wanabahatika kwa nguvu hizo kujionyesha bayana, huku wengine wengi wakiwa nazo bila kujijua kuwa wanazo nguvu hizo!.

Wale wahubiri wafanya miujiza ya uponyaji, wote wanatumia nguvu hizi, kufanya hayo wanayoyafanya, ila pia, wanga, wachawi, waganga, watabiri, wavumbuzi, matajiri wa kutisha, watawala wenye nguvu, nao pia hutumia nguvu hizi kupata mafanikio makubwa katika maisha yao!.

Matumizi ya neno "Katika Jina la Bwana", "Yesu", "Mungu" au jina lolote utakalotumia, ni kiashiria tuu cha kuufungua mlango wa nguvu hizo, ili ziweze kutenda miujiza, hata wasiotumia majina hayo, au maneno hayo huweza kutenda miujiza!.

Matumizi ya nguvu hizo, yanapotumika kutenda mema, huitwa nguvu za "Mungu", "Yesu", au "Roho Mtakatifu", na nguvu hizo zinapotumika kutenda maovu kama uchawi, majanga, magonjwa, etc huitwa "Nguvu za giza!".

Kwa vile nguvu hizi kila mtu anazo, hata hao wanaofanya miujiza ya uponyaji, wanachofanya ni kufungua tuu milango, ili nguvu zilizo ndani yako, ziweze kutenda hiyo miujiza, na ukipona, kilichokuponya sio huyo mponyaji, wala lile jina la Yesu, au jina Mungu, bali ni nguvu zilizo ndani yako!, "the powers from within!".

Hatua ya kwanza ya kufungua nguvu hizi ni "imani" kuamini kuwa "you have the powers" and that "you can do anything!", or "you can be anybody". Kuamini Mungu, Yesu, Mtume, Allah, Roho Mtakatifu, Bikira Maria, Watakatifu, Wachungaji, Wahubiri, Baba Mtakatifu, Sangoma, Sheriffu, Mlingotini, Chini ya Mti, Chini ya Mbuyu, Mlimani, Pangoni, Kisimani, Mtoni, Ziwani, Kwa Mganga, Vitabu Vitakatifu etc, ni njia rahisi ya kuanzia kufungua milango ya "higher power" to open up your doors for powers from within!" to act on you for you!.

"I know I can, be what I wanna be!"

Wale wenzetu wajanja, waliojitambua kuwa wanazo, wengi wanazitumia kutengezea mapesa kwa kisingizio chochote kiwe ni cha wahubiri, waganga, "wazee wa busara", "watenda miujiza", "wafukuza mapepo" kwa kukusanya sadaka na kujitajirisha, ambao mimi naita ni "wizi mtupu", huku waumini wakendelea kukamuliwa na kuachwa katika umasikini uliotopea!.

Nguvu hizi zimegawanyika matika makundi mengi tofauti, hivyo nimekuwekea baadhi ya makundi hapa chini, just take your time kuyatambua, ujiangalie na wewe unazo nguvu zipi, ili sasa uzitumie nguvu hizo, to "make things happen!".

This is a list of psychic abilities that have been attributed to real-world people. These are also sometimes known as extrasensory perception or a sixth sense. Inclusion in this list does not imply scientific recognition of the existence of an ability. Superhuman abilities from fiction are not included.


Psychic Powers- Ni Nguvu za Kufanya Miujiza-Wengi Wanazo Bila Kujitambua!-Jee Wewe Unazo?!,
Take time kujitambua kuwa you have the powers,
Nitakusaidia website za kukuelekeza ufanye nini kuhusu hizo powers ulizo nazo zikuletee mafanikio!.
Watu wote wenye mafanikio, wameisha jitambua, ila wengi wanafanya siri!.

Hii ni fursa kwa wewe kujitambua, kuzitumia powers ulizo nazo, kubadili maisha yako!.

Karibu tujadiliane!.

Pasco.

Kwa wanaopenda kujisomea kuongeza maarifa, nimeongeza list ya all the topics kwenye net resources kuhusu kila kitu chini ya jua.

World Religions
Traditions
Mysteries
What's New?
About
Abuse
Books
Bibliography
Contact
Credits
Copyrights
Donate
Downloads
FAQ
Links
Map
Press
Privacy
Search
Top Level
Terms of Service
Translate
Standards
Unicode
Volunteer
Wishlist
Catalog
African
Age of Reason
Alchemy
Americana
Ancient Near East
Astrology
Asia
Atlantis
Australia
Basque
Baha'i
Bible
Book of Shadows
Buddhism
Celtic
Christianity
Classics
Comparative
Confucianism
DNA
Earth Mysteries
Egyptian
England
Esoteric/Occult
Evil
Fortean
Freemasonry
Gothic
Gnosticism
Grimoires
Hinduism
I Ching
Islam
Icelandic
Jainism
Journals
Judaism
Legends/Sagas
Legendary Creatures
LGBT
Miscellaneous
Mormonism
Mysticism
Native American
Necronomicon
New Thought
Neopaganism/Wicca
Nostradamus
Oahspe
Pacific
Paleolithic
Parapsychology
Philosophy
Piri Re'is Map
Prophecy
Roma
Sacred Books of the East
Sacred Sexuality
Shakespeare
Shamanism
Shinto
Symbolism
Sikhism
Sub Rosa
Swedenborg
Tantra
Taoism
Tarot
Thelema
Theosophy
Time
Tolkien
UFOs
Utopia
Women
Wisdom of the East
Zoroastrianism
MIMI NINA PENDA NIFUNGUE HIZO NGUVU KWASABABU MIMI KWENYE NDOTO ZANGU NAONYESHWA VITU VINATOKEA KAMA KAZINI KATIKA SHUDHULI NINAZO ZIFANYA NAONYWESHWA SANA JE NIFANYEJE ILI NIWEZE KUZUIA KAMA ZILE NJOZI MBAYA NAMATUKIO AMBAYO YANAONYESHA YATA TOKEA ILI KUBADILISHA ILE PICHA AU TUKIO NILILO LIONA KWENYE NJOZI
 
Mimi ni mwananchi tuu!, wananchi tunawadanganya viongozi?!, ila kama unazungumzia lile "jiwe walilolikatta waashi!", subiria kwanza mpaka litakapofanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!", ndipo tuje tuulizane!.

Ili kiongozi uwe kiongozi bora, unapaswa kuwa na "powers from within!". Tanzania tunaviongozi wachache sana wenye "powers from within", Nyerere alikuwa na powers!, Sokoine alikuwa na powers!, sorry kuhusu Mwinyi, Mkapa kidogo kwa kuforce, aliyepo ni nil!, ajaye ni very powerful!.
Pasco.
 
Jaman ndo kwanza nimejiunga jf.uzi nimeupenda kisawa sawa ila sasa nikitoka online nawezaje kuupata kiurahs niendelee kujifunza??
Bonyeza hicho kinyota kwa hapo juu ya picha mkuu. Yaani kuu subscribe
 

Attachments

  • 1452707190160.jpg
    1452707190160.jpg
    20.9 KB · Views: 118
Mkuu malenga wetu,kwanza samahani, siku hizi huwa sipiti sana pande hizi, na nilikuwa busy kumuingiza mtu wetu ikulu, ila ndio hivyo tena!, sasa ni kazi tuu!.

Hiyo ya kutembea na kujiona uliishafika mahali, au kukutana na mtu ukajiona mliisha kutana kabla inaitwa De javu!. Ni kumbukumbu ambayo iko stored kwenye subconscious mind yako kwa combination ya
Precognition, premonition and precognitive dreams - Perception of events before they happen.
ambapo mwili wa binadamu una sehemu kuu mbili, mwili wa nyama, physical body, na mwili wa roho, spirritual body, au astral body.Movement na actions za Physical body ndio inatumia kanuni za kisayansi za motion zinazohusisha mass, distance time, lakini spiritual body haina uzito, haina time wala distance, ndio inayohusika kwenye ndoto ambapo kuna baadhi ya ndoto ukiota physical body inakuwa imelala, na spiritual inakuwa imesafiri hivyo hao watu, hayo maeneo spiritual body yako inakuwa tayari iliishafika hapo na hao watu mliishakutana spiritually na kumbukumbu zote za spiritual body zinahifadhiwa kwenye subconcious mind sasa physical body inapofika tena, au kukutana na huyo mtu, ndipo subconscious inafunguka kukukumbusha kuwa hapa niliisha fika au huyu mtu niliisha muona. Sometimes ni tukio kabisa ambalo limetokea kwa mara ya kwanza, lakini kina kinachotokea wewe unakuwa kama uliisha kiona!.

Kuna baadhi ya ndoto zinakuwa kweli, unaota kitu fulani au jambo fulani limetokea, mfano msiba, na kesho yake au baada ya siku chache unapokea taarifa za kotokea tukio hilo au msiba. Hapa ni spiritual body yako inakuwa ilitoka ukiwa ndotoni kwenda kushuhudia na kurejea. Kuna baadhi ya ndoto ni matukio ya kweli na nyingine ni ndoto tuu!.

Hiyo ya kujua mtu atasema nini kabla hajasema ni simple telepathy, yaani wakati anafikiria kusema wewe unakuwa umesikia kabla, au mekaa mahali mnamsema mtu fulani mara anatokea!, mtasikika mkisema "una maisha marefu" sasa hivi tulikuwa tunakuzungumzia, mara umetokea!. Au unatembea kwenye kichochoro, unakutana na mtu, ile mnataka kupisha wewe ukipisha huku na yeye anapisha huko huko unarudi huku na yeye anarudi huku ndipo unasimama ili yeye aamue anapisha wapi ndipo mnapishana!.

Kuna kitu kinaitwa preamonition, ni jambo unalisema au unaliota kisha linatokea, hii peamonition ipo inayotokea naturally na kuna nyingine, unaiomba kwa kauli pale unapoisema, hivi ndivyo laana inavyotengenezwa, inatengenezwa kwa kauli tuu!, kauli huumba!.

Hilo la kuota unakabiliwa na mtihani ni ndoto za maono kuwa utakabiliwa na changamoto fulani au mitihani ya maisha, ila unakuwa prepared. Kwenye ndoto kuna direct dreams, unaona umepata pesa, kweli unapata pesa!, unaota fulani amekufa, kweli fulani anakufa!. Kuna ndoto ni inverse or opposite!, unaota uko kwenye sherehe ya harusi, unapata msiba!, unaota unapaa angani, unapata majanga!, unaota umetumbukia kwenye shimo efu, ana unakimbizwa na simba, nyoka etc, unapata neema!.

NB. Mimi sio mfasiri wa nyota, wala sina powers zozote bali ni kutokana na kusoma tuu vitabu mbalimbali!.

Jumapili njema.

Pasco
Daaah umenifungua akili mzee. Hongera na ubarikiwe, hasa kuhusu siku kuwahi iona aisee huwa sometimes inanitokea so nabaki kujiulza hii siku nilisha wahi iona. Ila sikumbuki nimeiona vip na wapi au kwa wakati gani. Sometimes difficult to explain even to ask. So unabaki kimya tu.
Asante Pasco nimeongeza uelewa wangu.
 
Wanabodi,
Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, mfano, "Miujiza ya Ukweli!".

Kitu chenye nguvu kabisa katika mwili wa binadamu ni nguvu inayoitwa "Will Powers" ambayo kila binadamu, anazaliwa nayo, ila wengine wanabahatika kwa nguvu hizo kujionyesha bayana, huku wengine wengi wakiwa nazo bila kujijua kuwa wanazo nguvu hizo!.

Wale wahubiri wafanya miujiza ya uponyaji, wote wanatumia nguvu hizi, kufanya hayo wanayoyafanya, ila pia, wanga, wachawi, waganga, watabiri, wavumbuzi, matajiri wa kutisha, watawala wenye nguvu, nao pia hutumia nguvu hizi kupata mafanikio makubwa katika maisha yao!.

Matumizi ya neno "Katika Jina la Bwana", "Yesu", "Mungu" au jina lolote utakalotumia, ni kiashiria tuu cha kuufungua mlango wa nguvu hizo, ili ziweze kutenda miujiza, hata wasiotumia majina hayo, au maneno hayo huweza kutenda miujiza!.

Matumizi ya nguvu hizo, yanapotumika kutenda mema, huitwa nguvu za "Mungu", "Yesu", au "Roho Mtakatifu", na nguvu hizo zinapotumika kutenda maovu kama uchawi, majanga, magonjwa, etc huitwa "Nguvu za giza!".

Kwa vile nguvu hizi kila mtu anazo, hata hao wanaofanya miujiza ya uponyaji, wanachofanya ni kufungua tuu milango, ili nguvu zilizo ndani yako, ziweze kutenda hiyo miujiza, na ukipona, kilichokuponya sio huyo mponyaji, wala lile jina la Yesu, au jina Mungu, bali ni nguvu zilizo ndani yako!, "the powers from within!".

Hatua ya kwanza ya kufungua nguvu hizi ni "imani" kuamini kuwa "you have the powers" and that "you can do anything!", or "you can be anybody". Kuamini Mungu, Yesu, Mtume, Allah, Roho Mtakatifu, Bikira Maria, Watakatifu, Wachungaji, Wahubiri, Baba Mtakatifu, Sangoma, Sheriffu, Mlingotini, Chini ya Mti, Chini ya Mbuyu, Mlimani, Pangoni, Kisimani, Mtoni, Ziwani, Kwa Mganga, Vitabu Vitakatifu etc, ni njia rahisi ya kuanzia kufungua milango ya "higher power" to open up your doors for powers from within!" to act on you for you!.

"I know I can, be what I wanna be!"

Wale wenzetu wajanja, waliojitambua kuwa wanazo, wengi wanazitumia kutengezea mapesa kwa kisingizio chochote kiwe ni cha wahubiri, waganga, "wazee wa busara", "watenda miujiza", "wafukuza mapepo" kwa kukusanya sadaka na kujitajirisha, ambao mimi naita ni "wizi mtupu", huku waumini wakendelea kukamuliwa na kuachwa katika umasikini uliotopea!.

Nguvu hizi zimegawanyika matika makundi mengi tofauti, hivyo nimekuwekea baadhi ya makundi hapa chini, just take your time kuyatambua, ujiangalie na wewe unazo nguvu zipi, ili sasa uzitumie nguvu hizo, to "make things happen!".

This is a list of psychic abilities that have been attributed to real-world people. These are also sometimes known as extrasensory perception or a sixth sense. Inclusion in this list does not imply scientific recognition of the existence of an ability. Superhuman abilities from fiction are not included.


Psychic Powers- Ni Nguvu za Kufanya Miujiza-Wengi Wanazo Bila Kujitambua!-Jee Wewe Unazo?!,
Take time kujitambua kuwa you have the powers,
Nitakusaidia website za kukuelekeza ufanye nini kuhusu hizo powers ulizo nazo zikuletee mafanikio!.
Watu wote wenye mafanikio, wameisha jitambua, ila wengi wanafanya siri!.

Hii ni fursa kwa wewe kujitambua, kuzitumia powers ulizo nazo, kubadili maisha yako!.

Karibu tujadiliane!.

Pasco.

Kwa wanaopenda kujisomea kuongeza maarifa, nimeongeza list ya all the topics kwenye net resources kuhusu kila kitu chini ya jua.

World Religions
Traditions
Mysteries
What's New?
About
Abuse
Books
Bibliography
Contact
Credits
Copyrights
Donate
Downloads
FAQ
Links
Map
Press
Privacy
Search
Top Level
Terms of Service
Translate
Standards
Unicode
Volunteer
Wishlist
Catalog
African
Age of Reason
Alchemy
Americana
Ancient Near East
Astrology
Asia
Atlantis
Australia
Basque
Baha'i
Bible
Book of Shadows
Buddhism
Celtic
Christianity
Classics
Comparative
Confucianism
DNA
Earth Mysteries
Egyptian
England
Esoteric/Occult
Evil
Fortean
Freemasonry
Gothic
Gnosticism
Grimoires
Hinduism
I Ching
Islam
Icelandic
Jainism
Journals
Judaism
Legends/Sagas
Legendary Creatures
LGBT
Miscellaneous
Mormonism
Mysticism
Native American
Necronomicon
New Thought
Neopaganism/Wicca
Nostradamus
Oahspe
Pacific
Paleolithic
Parapsychology
Philosophy
Piri Re'is Map
Prophecy
Roma
Sacred Books of the East
Sacred Sexuality
Shakespeare
Shamanism
Shinto
Symbolism
Sikhism
Sub Rosa
Swedenborg
Tantra
Taoism
Tarot
Thelema
Theosophy
Time
Tolkien
UFOs
Utopia
Women
Wisdom of the East
Zoroastrianism
Ndugu zangu wana JF hii mada ni kali sana na natamani tuelimishane vlizuri kabisa kwa manufaa ya watanzania wote. haya mambo ni ya kweli kabisa. mimi binafsi niliwahi kusoma kitabu kimoja kimeandlikwa "psych power can make you rich". nilikuta mfano mmoja katika hicho kitabu ambao ulinifurahisha sana kiasi kwamba niliamua kuufanyia majaribio. majibu niliyopata yalukuwa ya kuskhangaza sana kiasi kwamba nilijikuta nikiangua kicheko kwenye daladala kama chizi bila watu kufahamu nilikuwa nikicheka nini.
mfano wenyewe unasema hivi " unaweza kuwa umepanda gari kama daladala ilimradi unaweza kuwa unaangalia eneo la nyuma la shingo ya mtu aliyeko kiti cha mbele yako. kisha ujenge picha ndani ya akili yako (imagination) kuwa macho yako mawili yanayo mtazama huyo mtu ni kama tochi yenye mwanga mkali (laser beam) kiasi kwamba kadiri unavyozidi kukodolea macho kwa mkazo katika shingo ya huyo jamaa unaona kabisa ule mwanga mkali toka kwenye macho yako unaanza kumuunguza na nyama ya shingo yake inaanza kukunjamana. wanaeleza kuwa kama utaifanya lkwa mkazo yaani (concerntration) baada ya muda fulani ama huyo jamaa atakuna hiyo sehemu ya shingo yake ama basi atageuka na kukutazama maana atakuwa amepata usumbufu katika hiyo shingo yake. mimi jamaa niliyemfanyia hiyo experiment alikuna hiyo shngo, na kanakwamba haitoshi akanigeukia. na ghafla nikaangua kiicheko cha hatari.
4738942, member: 12004"]
Mkuu malenga wetu,kwanza samahani, siku hizi huwa sipiti sana pande hizi, na nilikuwa busy kumuingiza mtu wetu ikulu, ila ndio hivyo tena!, sasa ni kazi tuu!.

Hiyo ya kutembea na kujiona uliishafika mahali, au kukutana na mtu ukajiona mliisha kutana kabla inaitwa De javu!. Ni kumbukumbu ambayo iko stored kwenye subconscious mind yako kwa combination ya
Precognition, premonition and precognitive dreams - Perception of events before they happen.
ambapo mwili wa binadamu una sehemu kuu mbili, mwili wa nyama, physical body, na mwili wa roho, spirritual body, au astral body.Movement na actions za Physical body ndio inatumia kanuni za kisayansi za motion zinazohusisha mass, distance time, lakini spiritual body haina uzito, haina time wala distance, ndio inayohusika kwenye ndoto ambapo kuna baadhi ya ndoto ukiota physical body inakuwa imelala, na spiritual inakuwa imesafiri hivyo hao watu, hayo maeneo spiritual body yako inakuwa tayari iliishafika hapo na hao watu mliishakutana spiritually na kumbukumbu zote za spiritual body zinahifadhiwa kwenye subconcious mind sasa physical body inapofika tena, au kukutana na huyo mtu, ndipo subconscious inafunguka kukukumbusha kuwa hapa niliisha fika au huyu mtu niliisha muona. Sometimes ni tukio kabisa ambalo limetokea kwa mara ya kwanza, lakini kina kinachotokea wewe unakuwa kama uliisha kiona!.

Kuna baadhi ya ndoto zinakuwa kweli, unaota kitu fulani au jambo fulani limetokea, mfano msiba, na kesho yake au baada ya siku chache unapokea taarifa za kotokea tukio hilo au msiba. Hapa ni spiritual body yako inakuwa ilitoka ukiwa ndotoni kwenda kushuhudia na kurejea. Kuna baadhi ya ndoto ni matukio ya kweli na nyingine ni ndoto tuu!.

Hiyo ya kujua mtu atasema nini kabla hajasema ni simple telepathy, yaani wakati anafikiria kusema wewe unakuwa umesikia kabla, au mekaa mahali mnamsema mtu fulani mara anatokea!, mtasikika mkisema "una maisha marefu" sasa hivi tulikuwa tunakuzungumzia, mara umetokea!. Au unatembea kwenye kichochoro, unakutana na mtu, ile mnataka kupisha wewe ukipisha huku na yeye anapisha huko huko unarudi huku na yeye anarudi huku ndipo unasimama ili yeye aamue anapisha wapi ndipo mnapishana!.

Kuna kitu kinaitwa preamonition, ni jambo unalisema au unaliota kisha linatokea, hii peamonition ipo inayotokea naturally na kuna nyingine, unaiomba kwa kauli pale unapoisema, hivi ndivyo laana inavyotengenezwa, inatengenezwa kwa kauli tuu!, kauli huumba!.

Hilo la kuota unakabiliwa na mtihani ni ndoto za maono kuwa utakabiliwa na changamoto fulani au mitihani ya maisha, ila unakuwa prepared. Kwenye ndoto kuna direct dreams, unaona umepata pesa, kweli unapata pesa!, unaota fulani amekufa, kweli fulani anakufa!. Kuna ndoto ni inverse or opposite!, unaota uko kwenye sherehe ya harusi, unapata msiba!, unaota unapaa angani, unapata majanga!, unaota umetumbukia kwenye shimo efu, ana unakimbizwa na simba, nyoka etc, unapata neema!.

NB. Mimi sio mfasiri wa nyota, wala sina powers zozote bali ni kutokana na kusoma tuu vitabu mbalimbali!.

Jumapili njema.

Pasco
[/QUOTE]
 
Daah we jamaaa unajua had unakera nashukuru kumfahamisha kijana ulichosema n kweli Lucifer alkuwa jini aliyeumbwa na moto hicho kiburi chake cha kukataa kumsujudia baba yetu Adam kwakuwa yeye anauwezo wa kumunguza sekunde tu na ukweli malaika wanatiii hawana ujuzi wowwte juu ya mola wao ahsante sana yeye Alfa na omega kamwe haifi ahsante naona watu wanashaka juu ya uwezo wa aliyewaumba namini had wanampa Lucifer sifa kama za mwenyez mungu tobaaaaaaaaa




msidanganye watu Mungu hakumuumba shetani bali shetani alikua malaika mkuu wa sifa mbinguni sasa kilichotokea ni hiki



yeye alikua anaenda directly kwa Mungu sasa ule utukufu na mng'ao aliokua nao baada ya kutoka kwa Mungu ni wa ajabu mpk malaika wwnzake wakawa wanahofu nao nae akapata kichwa akataka kufanya mapinduzi akizan atafanikiwa ndio kushushwa na kutupwa huku
 
Back
Top Bottom