Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,057
- 6,712
kiukweli mi nachukiaga sana.
kuna mambo mengi huwa nayapata kama ndoto but hayachukui cku nyingi yanatokea kama yalivyo.
naweza ota mtu fulani ndoa yake imevunjika na isichukue muda, yaan huwa naotaga tukio zima kama lilivyo.
na huwa nikimwabia muhusika mfano " mtoto wako amefeli masomo kwa sababu ya ulevi " unakuta yule mtu ana hyo tabia.
yaan huwa naomba dua sana hili jambo liniondoke linanitesa naweza kuwa na rafiki but naota mambo yatayo watokea mazur na mabaya, naogopa hata kuwaambia maana wasipochukua hatua linawatokea kweli na wanajiuliza maswali mengi kuhusu mimi. watu wanaonifanyia mabaya , mazur wengi huwa naotaga
kuna mambo mengi huwa nayapata kama ndoto but hayachukui cku nyingi yanatokea kama yalivyo.
naweza ota mtu fulani ndoa yake imevunjika na isichukue muda, yaan huwa naotaga tukio zima kama lilivyo.
na huwa nikimwabia muhusika mfano " mtoto wako amefeli masomo kwa sababu ya ulevi " unakuta yule mtu ana hyo tabia.
yaan huwa naomba dua sana hili jambo liniondoke linanitesa naweza kuwa na rafiki but naota mambo yatayo watokea mazur na mabaya, naogopa hata kuwaambia maana wasipochukua hatua linawatokea kweli na wanajiuliza maswali mengi kuhusu mimi. watu wanaonifanyia mabaya , mazur wengi huwa naotaga