Platov agnt
Member
- Nov 22, 2018
- 82
- 50
Mkuu nilikua naomba kuliza JE NI KWANINI IKATOKEA UMEVUTA NA BAHADA YA HAPO UKANZA KUTAPIKA/ tangu ianze kunitokea nimeacha kabisaView attachment 1760479
Cannabis Buds ( Smokable Part!
View attachment 1760481
Hii ndio Buds iliyokuwa Harvested and cured ready for the kick and kush .
This one unaweza kutengenezea chai ️ yaani ukachemsha kama chai na ina taratibu zake. Au ukaweka kwenye keki and other foods.
Ukitumia hii kitu , you will get high . Kama ukinywa as tea , and if the the strength of THC ranges between 100mg to 200mg , my friend you will get a kick ambayo itadumu for at least 6 hours. Imagine getting high for 6 hours ,LMFAO . Unawezaa enda Dukani kwa mangi ukiwa na sabuni na ndoo ya maji ukidhani ni BAFU la kuogea ha ha !
But , huko India wanatumia chai kama hii for spiritual Connotations and mysterious of life. Especially pia Kwenye ritual ceremonies and soul communication to the divine nature.
It give you the hit that lasts. Ila Ukismoke the effect will be only 1 hrs or less .
Wanao enjoy hii kitu ni wale ambao wanatumia for malengo maalumu na sio RECREATIONAL.
Huu mmea ndio siri ya mapadri na wachungaji wengi wanaojifanya SMART na kumjua Mungu sana