PSSSF sasa kubatizwa kwa moto

PSSSF sasa kubatizwa kwa moto

Nsimbi

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2014
Posts
1,091
Reaction score
1,208
Ni kitengo cha wababaishaji ndivyo unavyoweza kuiita hifadhi ya jamii nchini.

Mabadiliko PPF na NSSF imekuwa mwiba mchungu na wenye sumu kali kwa wafanyazi wanyonge yaani malofa.

Blabla zinazoendelea sasa kuhusu fao la kukosa ajira kama mbadala wa withdrawal, ni geresha tu. Ukweli ni kwamba mifuko ya hifadhi ya jamii ni source nzuri sana ya mapato kwa Serikali.

Ukweli ni kwamba Gvt imeamua makusudi kuwaibia wanachama wa mifuko hii na umma unapumbazwa kupitia vibaraka kama SSRA na baadhi ya wahariri wa media.
Si kweli kwamba Serikali inajali welfare ya mtanzania atakapokuwa mzee wa miaka 60. Ni unafiki mtupu. Wanajua wakikunyima pesa yako sasa utakufa anyway na hivyo kutodai mafao yako.

Hivyo PSSSF na NSSF kupendelea kuneemeka kwa pesa za wafu. Cursed SSRA. Why nilazimishwe kusubiri miaka 55 kuchukua pesa yangu ya mafao baada ya kuachishwa kazi? Kwa nini nilazimishwe kuchukua roborobo kupitia ujinga unaoitwa unemployment benefit!!?

A stinking usanii! Aliyempendeza upumbavu huu kichwani kwake hakuna ubongo bali mtori.

Wanasema unapoacha kazi sehemu A uombe kazi sehemu C! Hivi akina lousy Mhagama wanajifanya hawajui ugumu wa kupata ajira Bongo? Kwa uchumi gani?

Wanapata wapi courage ya kumwambia mtu aliyeacha kazi akiwa na miaka 49 asubiri hadi miaka 60 ndio achukue pesa zake ambazo kiukweli ni ndogo masikini. Nani atamwajiri mtu mwenye miaka 50?

Wabunge wana roho mbaya sana wao wakimaliza kipindi chao wanakomba mafao fasta!

Wafanyazi wenye sumuni wanataka kuwapangia. Huu ni ufirauni daraja la kwanza. Cursed lawmakers who passed such a trash.

Nasikia hawajazingatia hata mfumuko wa bei. Ukiwa na laki moja baada ya miaka 10 utakuja kulipwa kiasi hicho hicho. No interest. No nothing. Huu ni mpango wa ovyo kabisa na ni kaburi kwa wanachama wenye mishahara midogo.

Mtu ana milioni 2 mnataka kumpa kidogo kidogo eti kusubiri apate ajira nyingine. Si mumpe hela yake akajiajiri?

This is a great injustice and the whole law is bad very bad to low income earners.

Ajira hakuna waacheni wanachama watafute plan B. Kwani lazima kuajiriwa? Watu wapewe pesa zao bwana pindi tu wanapoacha kazi.

Irene wa SSRA, Eliud wa PSSSF na Erio wa NSSF ndugu yake Mkapa, acheni kutuibia mchana tena kininja namna hii.

Mtajitakia laana za bureee wanachama wakifa kabla ya kulipwa fedha zao.

Abarikiwe sana PSSSF mtoto wa PPF na baba asiyejulikana! Mtoto huyu atabatizwa kwa moto!

Na ikifika wakati wa kutahiriwa basi tohara itafanywa kwa shoka au msumeno!!
 
Umeandika kwa uchungu kweli ndugu....I wish hayo matakataka watu wangekua wanaamua wenyewe sio kuwakata directly kwenye mishahara
 
Ikumbukwe kwamba ukiwa na zaidi ya 45 hata serikali wenyewe hawakuajiri ila ukiacha au kuachishwa kazi ukiwa na miaka 49 au hamsini unaambiwa subiri umri wa kustaafu tafuta kwanza kazi mahali pengine. Wabunge, mawaziri na wanasiasa wao wakistaafu hata kama wana 45 wanapewa chao. Ee Mungu tuangalie kwa macho yako ya huruma.
 
Cha kushangaza mpaka vyama vya upinzani, wameshindwa kabisa kulisemea hili.
 
Umeandika vyema sana, Ni ukweli usiopingika kuwa sheria hii ni kandamizi na ni wizi uliowazi kwa mvuja jasho, watunga sheria wamepitisha sheria hii bila kujali maslahi ya wafanyakazi kwa kuwa wao haiwahusu, Kimsingi hii ni sheria kandamizi.Serikali iwaache watu waamue wenyewe mafao yao, sheria hii iweke bayana kuwa ni hiyari kwa mtu binafsi kuondoa mgongano usio wa lazima, Mtu ana haki ya kutumia mafao yake namna anavyotaka, Kama serikali haikuweza kumtafutia kazi mtu kwa nini impangie matumizi ya mafao yake? Kama inataka kushikilia pesa za mtu ambaye ataacha au kuachishwa kazi sehemu moja kabla hajafikisha miaka 55, ihakikishe kuwa inamtafutia kazi sehemu nyingine, Vinginevyo suala hili libaki kuwa binafsi watu waamue hatima zao.
 
sheria kandamizi isiyojari mahangaiko na taabu ya wengine.ukitaka ujue maisha magumu,kosa kazi au au uachishwe kazi [emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu ukutana na hawa jamaa wanao kwambia hadi ufikie 60 yrs ndo upewe chako.Utatamani uote muvi hadi kwenye kope na wakati huo una 45 au below
 
Kwa sasa uzee ni kaa la moto. Ukisha staafu huna thamani tena na hata pesa uliyochangia huna haki nayo tena Serikali imeingilia mifuko hii na pension za wastaafu ndio inako hemea kuziba mapungufu. Inauma aana wastaafu kutolipwa pension zao mwezi huu kama ilivyokuwa katika mikataba yao wakati wakiwa kwenye ajira. Huko PPF ambao umeunganishwa kuwa PSSSF hadi leo hawajalipwa pension ya mwezi ilhali huwa ina lipwa kati ya tarehe 24 na 26 ya kila mwezi. Hivi lile tamko la Irine wa SSRA lilimaanisha pension sasa hakuna hadi January, 2019. Hebu tufahamishane kwa sababu watu wanategemea mafao yao kulipa madeni, kulipa ada mbali mbali zikiwemo za shule. Kama malipo ya pension hakuna ina maana shule za private zitakuwa na mapungufu na kushindwa kujiendesha na hii kupelekea wanafunzi wengi kufukuzwa na baadhi ya shule kufungwa. Rai yangu ni kuwa hili suala la pension ni la kisheria hivyo inabidi litendewe haki na sio kuwanyima haki wastaafu waliotumikia taifa kwa uadilifu wakiwemo wahadhiri, maengineer, marubani, wanajeshi, walimu, makarani na kadhalika. Mtumishi wa leo ni mstaafu wa kesho.
 
Wa kulaumiwa ni wabunge wetu ambao ndo wawakilishi wa wananchi kwa kupitisha mswada mbovu kama huu unaoenda kuuwa wastaafu wengi muda mfupi baada ya kuachana na ajira kwa stress za kipato, hata huruma hawana kabisa, lakini pia mchakato wenyewe haukuhusisha wadau ambao ni wajiriwa wenyewe, duh!, Kuna haja ya serikali kulitazama upya swala hili la uunganishaji mifuko hii pia na sheria yenyewe vinginevyo tutapoteza wazee wetu wengi waliotumikia Taifa hili na kustaafu au kuacha kazi kabla ya umri wa miaka 55 kwa presha na misongo ya mawazo ya kukosa viinua migongo.
 
Ni kitengo cha wababaishaji ndivyo unavyoweza kuiita hifadhi ya jamii nchini.

Mabadiliko PPF na NSSF imekuwa mwiba mchungu na wenye sumu kali kwa wafanyazi wanyonge yaani malofa.

Blabla zinazoendelea sasa kuhusu fao la kukosa ajira kama mbadala wa withdrawal, ni geresha tu. Ukweli ni kwamba mifuko ya hifadhi ya jamii ni source nzuri sana ya mapato kwa Serikali.

Ukweli ni kwamba Gvt imeamua makusudi kuwaibia wanachama wa mifuko hii na umma unapumbazwa kupitia vibaraka kama SSRA na baadhi ya wahariri wa media.
Si kweli kwamba Serikali inajali welfare ya mtanzania atakapokuwa mzee wa miaka 60. Ni unafiki mtupu. Wanajua wakikunyima pesa yako sasa utakufa anyway na hivyo kutodai mafao yako.

Hivyo PSSSF na NSSF kupendelea kuneemeka kwa pesa za wafu. Cursed SSRA. Why nilazimishwe kusubiri miaka 55 kuchukua pesa yangu ya mafao baada ya kuachishwa kazi? Kwa nini nilazimishwe kuchukua roborobo kupitia ujinga unaoitwa unemployment benefit!!?

A stinking usanii! Aliyempendeza upumbavu huu kichwani kwake hakuna ubongo bali mtori.

Wanasema unapoacha kazi sehemu A uombe kazi sehemu C! Hivi akina lousy Mhagama wanajifanya hawajui ugumu wa kupata ajira Bongo? Kwa uchumi gani?

Wanapata wapi courage ya kumwambia mtu aliyeacha kazi akiwa na miaka 49 asubiri hadi miaka 60 ndio achukue pesa zake ambazo kiukweli ni ndogo masikini. Nani atamwajiri mtu mwenye miaka 50?

Wabunge wana roho mbaya sana wao wakimaliza kipindi chao wanakomba mafao fasta!

Wafanyazi wenye sumuni wanataka kuwapangia. Huu ni ufirauni daraja la kwanza. Cursed lawmakers who passed such a trash.

Nasikia hawajazingatia hata mfumuko wa bei. Ukiwa na laki moja baada ya miaka 10 utakuja kulipwa kiasi hicho hicho. No interest. No nothing. Huu ni mpango wa ovyo kabisa na ni kaburi kwa wanachama wenye mishahara midogo.

Mtu ana milioni 2 mnataka kumpa kidogo kidogo eti kusubiri apate ajira nyingine. Si mumpe hela yake akajiajiri?

This is a great injustice and the whole law is bad very bad to low income earners.

Ajira hakuna waacheni wanachama watafute plan B. Kwani lazima kuajiriwa? Watu wapewe pesa zao bwana pindi tu wanapoacha kazi.

Irene wa SSRA, Eliud wa PSSSF na Erio wa NSSF ndugu yake Mkapa, acheni kutuibia mchana tena kininja namna hii.

Mtajitakia laana za bureee wanachama wakifa kabla ya kulipwa fedha zao.

Abarikiwe sana PSSSF mtoto wa PPF na baba asiyejulikana! Mtoto huyu atabatizwa kwa moto!

Na ikifika wakati wa kutahiriwa basi tohara itafanywa kwa shoka au msumeno!!
IMG-20180923-WA0010.jpg
 
Kwa sasa uzee ni kaa la moto. Ukisha staafu huna thamani tena na hata pesa uliyochangia huna haki nayo tena Serikali imeingilia mifuko hii na pension za wastaafu ndio inako hemea kuziba mapungufu. Inauma aana wastaafu kutolipwa pension zao mwezi huu kama ilivyokuwa katika mikataba yao wakati wakiwa kwenye ajira. Huko PPF ambao umeunganishwa kuwa PSSSF hadi leo hawajalipwa pension ya mwezi ilhali huwa ina lipwa kati ya tarehe 24 na 26 ya kila mwezi. Hivi lile tamko la Irine wa SSRA lilimaanisha pension sasa hakuna hadi January, 2019. Hebu tufahamishane kwa sababu watu wanategemea mafao yao kulipa madeni, kulipa ada mbali mbali zikiwemo za shule. Kama malipo ya pension hakuna ina maana shule za private zitakuwa na mapungufu na kushindwa kujiendesha na hii kupelekea wanafunzi wengi kufukuzwa na baadhi ya shule kufungwa. Rai yangu ni kuwa hili suala la pension ni la kisheria hivyo inabidi litendewe haki na sio kuwanyima haki wastaafu waliotumikia taifa kwa uadilifu wakiwemo wahadhiri, maengineer, marubani, wanajeshi, walimu, makarani na kadhalika. Mtumishi wa leo ni mstaafu wa kesho.
PPF hakuna pensheni mpaka sasa hivi. Washenzi sana , wanatesa wastafu kwa haki zaqo na si fadhila.
 
Ninahofia hata waliostaafu zamani watawekwa kwenye mkumbo huo na pensheni zao kukatwa, wataanza kulipwa kidogo kama ulikuwa unapata say laki tano watakupa say 2 kuwa tatu wanakuwekea. . Tusubiri mtaona.
 
kwa kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa,ndio kinachoendelea,mtu akiona yupo kwenye system ya ajira hata umwambie nn atakuona unacheza na hawachelewi kukuambia ufanye kazi hata ya kushona viatu na hali taaluma yako ni nje kabsa na huko na wakati huo hauna kazi na age inasonga,kikawaisa watu wangeweza kujiajiri kwa kupitia hizo pesa kidogo zilizopo huko kwa ambao wameacha kazi katika sekta mbali mbali na umri bado unaruhusu maana kwa sasa swala la ajira ni changamoto kwa Taifa.
 
Jiwe ataua watu wengi kwa stress, huu ujinga kauleta yeye.

Nasema hivii,
Hakuna fisadi mkubwa Nchi hii atakae tokea kama Jiwe.

Naomba hii quote ihifadhiwe kwa kumbukumbu.
 
haya maisha kandamizi lazima wagonjwa wa presha na msongo wa mawazo waongezeke.
Inasikitisha sana.
kuna wabunge wachache walisimamia show ila ndio hivyo tena wengi wape ikafanya kazi.
Mwenye shibe hamjui mwenye njaa.
 
Back
Top Bottom