PSSSF ni kama dude la kishetanishetani hivi

Nsimbi

JF-Expert Member
Sep 27, 2014
1,091
1,202
PSSSF ni kizungumkuti. Ati Sheria mpya inaanza rasmi kuuma August 1. Nini fate ya wale walioachishwa kazi before July, 2018 kushuka chini huko? Watu wanasubiri muda mrefu.

Mambo yanayoelezwa hayaingii akilini hata kidogo. The crazy kanuni labla ni applicable elsewhere lakini sio bongo.

Swali kuu ni kwamba why are you tempering with my money?!!!! Kwa nini mmipangie??!!! SITAKI. Wengi wa wafanyazi mnaowababaisha na hizo lousy kanuni ni malofa. Hawataki kanuni. Wanataka pesa zao zote. Period.

Tangu habari za mabadiliko PPF na NSSF zitande imekuwa mwiba mchungu na wenye sumu kali kwa wafanyazi hasa wenye vipato vidogo.

Yaani hata laki moja unawekewa mashati lukuki kuipata. Kwa kweli adui mkubwa kwa watz kwa sasa ni hawa jamaa.

Blabla zinazoendelea sasa kuhusu fao la kukosa ajira kama mbadala wa withdrawal, ni geresha tu. It is totally ridiculous.

Ukweli ni kwamba mifuko ya hifadhi ya jamii ni source nzuri sana ya mapato kwa Serikali.

Ukweli ni kwamba Gvt imeamua makusudi kuwaibia wanachama wa mifuko hii na umma unapumbazwa kupitia vibaraka kama SSRA na baadhi ya wahariri wa media.
Si kweli kwamba Serikali inajali welfare ya mtanzania atakapokuwa mzee wa miaka 60. Ni unafiki mtupu. Wanajua wakikunyima pesa yako sasa utakufa anyway na hivyo kutodai mafao yako.

Hivyo PSSSF na NSSF kupendelea kuneemeka kwa pesa za wafu. Cursed SSRA. Why nilazimishwe kusubiri miaka 55 kuchukua pesa yangu ya mafao baada ya kuachishwa kazi? Kwa nini nilazimishwe kuchukua roborobo kupitia ujinga unaoitwa unemployment benefit!!? A stinking usanii!

Wanasema unapoacha kazi sehemu A uombe kazi sehemu C! Hivi akina lousy Mhagama wanajifanya hawajui ugumu wa kupata ajira Bongo? Kwa uchumi gani?

Wanapata wapi courage ya kumwambia mtu aliyeacha kazi akiwa na miaka 49 asubiri hadi miaka 60 ndio achukue pesa zake ambazo kiukweli ni ndogo masikini. Nani atamwajiri mtu mwenye miaka 50?


Nasikia hawajazingatia hata mfumuko wa bei. Ukiwa na laki moja baada ya miaka 10 utakuja kulipwa kiasi hicho hicho. No interest. No nothing. Huu ni mpango wa ovyo kabisa na ni kaburi kwa wanachama wenye mishahara midogo.

Mtu ana milioni 2 mnataka kumpa kidogo kidogo eti kusubiri apate ajira nyingine. Si mumpe hela yake akajiajiri?

This is a great injustice and the whole law is bad very bad to low income earners.

Ajira hakuna waacheni wanachama watafute plan B. Kwani lazima kuajiriwa? Watu wapewe pesa zao bwana pindi tu wanapoacha kazi.

Mtajitakia laana za bureee wanachama wakifa kabla ya kulipwa fedha zao.
 
PSSSF ni kizungumkuti. Ati Sheria mpya inaanza rasmi kuuma August 1. Nini fate ya wale walioachishwa kazi before July, 2018 kushuka chini huko? Watu wanasubiri muda mrefu.

Mambo yanayoelezwa hayaingii akilini hata kidogo. The crazy kanuni labla ni applicable elsewhere lakini sio bongo.

Swali kuu ni kwamba why are you tempering with my money?!!!! Kwa nini mmipangie??!!! SITAKI. Wengi wa wafanyazi mnaowababaisha na hizo lousy kanuni ni malofa. Hawataki kanuni. Wanataka pesa zao zote. Period.

Tangu habari za mabadiliko PPF na NSSF zitande imekuwa mwiba mchungu na wenye sumu kali kwa wafanyazi hasa wenye vipato vidogo.

Yaani hata laki moja unawekewa mashati lukuki kuipata. Kwa kweli adui mkubwa kwa watz kwa sasa ni hawa jamaa.

Blabla zinazoendelea sasa kuhusu fao la kukosa ajira kama mbadala wa withdrawal, ni geresha tu. It is totally ridiculous.

Ukweli ni kwamba mifuko ya hifadhi ya jamii ni source nzuri sana ya mapato kwa Serikali.

Ukweli ni kwamba Gvt imeamua makusudi kuwaibia wanachama wa mifuko hii na umma unapumbazwa kupitia vibaraka kama SSRA na baadhi ya wahariri wa media.
Si kweli kwamba Serikali inajali welfare ya mtanzania atakapokuwa mzee wa miaka 60. Ni unafiki mtupu. Wanajua wakikunyima pesa yako sasa utakufa anyway na hivyo kutodai mafao yako.

Hivyo PSSSF na NSSF kupendelea kuneemeka kwa pesa za wafu. Cursed SSRA. Why nilazimishwe kusubiri miaka 55 kuchukua pesa yangu ya mafao baada ya kuachishwa kazi? Kwa nini nilazimishwe kuchukua roborobo kupitia ujinga unaoitwa unemployment benefit!!? A stinking usanii!

Wanasema unapoacha kazi sehemu A uombe kazi sehemu C! Hivi akina lousy Mhagama wanajifanya hawajui ugumu wa kupata ajira Bongo? Kwa uchumi gani?

Wanapata wapi courage ya kumwambia mtu aliyeacha kazi akiwa na miaka 49 asubiri hadi miaka 60 ndio achukue pesa zake ambazo kiukweli ni ndogo masikini. Nani atamwajiri mtu mwenye miaka 50?


Nasikia hawajazingatia hata mfumuko wa bei. Ukiwa na laki moja baada ya miaka 10 utakuja kulipwa kiasi hicho hicho. No interest. No nothing. Huu ni mpango wa ovyo kabisa na ni kaburi kwa wanachama wenye mishahara midogo.

Mtu ana milioni 2 mnataka kumpa kidogo kidogo eti kusubiri apate ajira nyingine. Si mumpe hela yake akajiajiri?

This is a great injustice and the whole law is bad very bad to low income earners.

Ajira hakuna waacheni wanachama watafute plan B. Kwani lazima kuajiriwa? Watu wapewe pesa zao bwana pindi tu wanapoacha kazi.

Mtajitakia laana za bureee wanachama wakifa kabla ya kulipwa fedha zao.
Hili gazeti sijalisoma na usiku wote huu nani ahangaike
 
naamini hii mifuko yote ni mizuri,tatizo nadhani ni uwekezaji wanaoufanya ndio hauna return nzuri kwao. Pia Serikali zinawaingilia kwa kukwapua vijicenti vyao. Tuvumile uzeeni sio mbali watatulipa hicho kilichopo maana hakuna namna. Tunayemlalamikia ndiye anapaswa kutusaidia.
 
Hali ni tete balaa, halafu kuna watu Bado hawashauriki, hapo ndio shida inapoanzia.
 
Hahah tulia dawa iwaingie, Nyie mnafkiri uchumi wa kati unakujakuja tu kirahisirahisi
 
PSSSF ni kizungumkuti. Ati Sheria mpya inaanza rasmi kuuma August 1. Nini fate ya wale walioachishwa kazi before July, 2018 kushuka chini huko? Watu wanasubiri muda mrefu.

Mambo yanayoelezwa hayaingii akilini hata kidogo. The crazy kanuni labla ni applicable elsewhere lakini sio bongo.

Swali kuu ni kwamba why are you tempering with my money?!!!! Kwa nini mmipangie??!!! SITAKI. Wengi wa wafanyazi mnaowababaisha na hizo lousy kanuni ni malofa. Hawataki kanuni. Wanataka pesa zao zote. Period.

Tangu habari za mabadiliko PPF na NSSF zitande imekuwa mwiba mchungu na wenye sumu kali kwa wafanyazi hasa wenye vipato vidogo.

Yaani hata laki moja unawekewa mashati lukuki kuipata. Kwa kweli adui mkubwa kwa watz kwa sasa ni hawa jamaa.

Blabla zinazoendelea sasa kuhusu fao la kukosa ajira kama mbadala wa withdrawal, ni geresha tu. It is totally ridiculous.

Ukweli ni kwamba mifuko ya hifadhi ya jamii ni source nzuri sana ya mapato kwa Serikali.

Ukweli ni kwamba Gvt imeamua makusudi kuwaibia wanachama wa mifuko hii na umma unapumbazwa kupitia vibaraka kama SSRA na baadhi ya wahariri wa media.
Si kweli kwamba Serikali inajali welfare ya mtanzania atakapokuwa mzee wa miaka 60. Ni unafiki mtupu. Wanajua wakikunyima pesa yako sasa utakufa anyway na hivyo kutodai mafao yako.

Hivyo PSSSF na NSSF kupendelea kuneemeka kwa pesa za wafu. Cursed SSRA. Why nilazimishwe kusubiri miaka 55 kuchukua pesa yangu ya mafao baada ya kuachishwa kazi? Kwa nini nilazimishwe kuchukua roborobo kupitia ujinga unaoitwa unemployment benefit!!? A stinking usanii!

Wanasema unapoacha kazi sehemu A uombe kazi sehemu C! Hivi akina lousy Mhagama wanajifanya hawajui ugumu wa kupata ajira Bongo? Kwa uchumi gani?

Wanapata wapi courage ya kumwambia mtu aliyeacha kazi akiwa na miaka 49 asubiri hadi miaka 60 ndio achukue pesa zake ambazo kiukweli ni ndogo masikini. Nani atamwajiri mtu mwenye miaka 50?


Nasikia hawajazingatia hata mfumuko wa bei. Ukiwa na laki moja baada ya miaka 10 utakuja kulipwa kiasi hicho hicho. No interest. No nothing. Huu ni mpango wa ovyo kabisa na ni kaburi kwa wanachama wenye mishahara midogo.

Mtu ana milioni 2 mnataka kumpa kidogo kidogo eti kusubiri apate ajira nyingine. Si mumpe hela yake akajiajiri?

This is a great injustice and the whole law is bad very bad to low income earners.

Ajira hakuna waacheni wanachama watafute plan B. Kwani lazima kuajiriwa? Watu wapewe pesa zao bwana pindi tu wanapoacha kazi.

Mtajitakia laana za bureee wanachama wakifa kabla ya kulipwa fedha zao.
Hiyo unayoita laana wenzako hawaiogopi, maana wanalaaniwa kila siku na bado wapo. Tunapita katika kipindi kigunu sana kwa kweli. Serikali inataka kufuta madeni yake inayodaiwa na hii mifuko kwa style ya kuipunguzia madeni inayodaiwa hii mifuko.

Yaani unamfuata mdai wako (Mifuko) unamwambia kwa kua yeye anakudai wewe (Sirikali), na pia yeye anadaiwa na mwengine (Mfanyakazi/Mstaafu) basi utafuta au kupunguza deni ambalo yeye mdai anadaiwa na mwengine (Mafao) ili na yeye afute lile deni analokudai wewe. Anaeathirika hapa ni huyo mdai mwengine ambae hakuhusika wakati wewe na mdai wako mnakopeshana.
 
PSSSF ni kizungumkuti. Ati Sheria mpya inaanza rasmi kuuma August 1. Nini fate ya wale walioachishwa kazi before July, 2018 kushuka chini huko? Watu wanasubiri muda mrefu.

Mambo yanayoelezwa hayaingii akilini hata kidogo. The crazy kanuni labla ni applicable elsewhere lakini sio bongo.

Swali kuu ni kwamba why are you tempering with my money?!!!! Kwa nini mmipangie??!!! SITAKI. Wengi wa wafanyazi mnaowababaisha na hizo lousy kanuni ni malofa. Hawataki kanuni. Wanataka pesa zao zote. Period.

Tangu habari za mabadiliko PPF na NSSF zitande imekuwa mwiba mchungu na wenye sumu kali kwa wafanyazi hasa wenye vipato vidogo.

Yaani hata laki moja unawekewa mashati lukuki kuipata. Kwa kweli adui mkubwa kwa watz kwa sasa ni hawa jamaa.

Blabla zinazoendelea sasa kuhusu fao la kukosa ajira kama mbadala wa withdrawal, ni geresha tu. It is totally ridiculous.

Ukweli ni kwamba mifuko ya hifadhi ya jamii ni source nzuri sana ya mapato kwa Serikali.

Ukweli ni kwamba Gvt imeamua makusudi kuwaibia wanachama wa mifuko hii na umma unapumbazwa kupitia vibaraka kama SSRA na baadhi ya wahariri wa media.
Si kweli kwamba Serikali inajali welfare ya mtanzania atakapokuwa mzee wa miaka 60. Ni unafiki mtupu. Wanajua wakikunyima pesa yako sasa utakufa anyway na hivyo kutodai mafao yako.

Hivyo PSSSF na NSSF kupendelea kuneemeka kwa pesa za wafu. Cursed SSRA. Why nilazimishwe kusubiri miaka 55 kuchukua pesa yangu ya mafao baada ya kuachishwa kazi? Kwa nini nilazimishwe kuchukua roborobo kupitia ujinga unaoitwa unemployment benefit!!? A stinking usanii!

Wanasema unapoacha kazi sehemu A uombe kazi sehemu C! Hivi akina lousy Mhagama wanajifanya hawajui ugumu wa kupata ajira Bongo? Kwa uchumi gani?

Wanapata wapi courage ya kumwambia mtu aliyeacha kazi akiwa na miaka 49 asubiri hadi miaka 60 ndio achukue pesa zake ambazo kiukweli ni ndogo masikini. Nani atamwajiri mtu mwenye miaka 50?


Nasikia hawajazingatia hata mfumuko wa bei. Ukiwa na laki moja baada ya miaka 10 utakuja kulipwa kiasi hicho hicho. No interest. No nothing. Huu ni mpango wa ovyo kabisa na ni kaburi kwa wanachama wenye mishahara midogo.

Mtu ana milioni 2 mnataka kumpa kidogo kidogo eti kusubiri apate ajira nyingine. Si mumpe hela yake akajiajiri?

This is a great injustice and the whole law is bad very bad to low income earners.

Ajira hakuna waacheni wanachama watafute plan B. Kwani lazima kuajiriwa? Watu wapewe pesa zao bwana pindi tu wanapoacha kazi.

Mtajitakia laana za bureee wanachama wakifa kabla ya kulipwa fedha zao.
Kuna rafiki yangu mama yake alistaafu 2017 wakamlipa lumpsum 66m Mwezi wa 10....jamaa hakuridhika akanitafuta tupige hesabu kwa kanuni za kabla ya 1 August kwasababu alijaribu kuangalia kwenye website calculator haipo.....zamani Pspf walikuwa na benefits calculator Unajaza details Unajua mzigo wako sh ngapi.

Tumepiga lumpsum aliyostahili kulipwa ni 77m Kwahiyo 11m wamefekyelea mbali Ndo wanapambana kuzidai.....

Maana yangu ni kuwa hii mifuko IPO kwa ajili ya kuwanyonga wanyonge.
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezek la mshahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
 
Acha PPF na NSSF wawe miba tuuuuuuuuuuuu!!Kwani ulilazimishwa kumchagua jiwe?The worst is not yet to come, stay turned bro!!.....Jiwe umchague mwenyewe kulia ulie mwenyewe,haya ndiyo maajabu ya watanzania!
 
Hiyo unayoita laana wenzako hawaiogopi, maana wanalaaniwa kila siku na bado wapo. Tunapita katika kipindi kigunu sana kwa kweli. Serikali inataka kufuta madeni yake inayodaiwa na hii mifuko kwa style ya kuipunguzia madeni inayodaiwa hii mifuko.

Yaani unamfuata mdai wako (Mifuko) unamwambia kwa kua yeye anakudai wewe (Sirikali), na pia yeye anadaiwa na mwengine (Mfanyakazi/Mstaafu) basi utafuta au kupunguza deni ambalo yeye mdai anadaiwa na mwengine (Mafao) ili na yeye afute lile deni analokudai wewe. Anaeathirika hapa ni huyo mdai mwengine ambae hakuhusika wakati wewe na mdai wako mnakopeshana.
Point hii iwafikie Lumumba Fc kokote waliko, maana wao haya hayawahusu eti. Nadhani hii mifuko ukienda kudai haki yako unaulizwa na kadi ya Chama, ukiwa na ya CCM kinatumika kikokotoo cha zamani, ukitoa ya vyama vingine umapigwa na 25per!! Maana haiwezekani hata ukiwa mfia Chama ukatetea ukandamizaji kama huu. Walivyo wepesi wa matamko wangeshasema lakini hii inaonesha ccm wanahusika. Kama kweli wangekuwa wanajali wanyonge na siyo matumbo yao wangeshasema tukasikia, mbona Membe alipogusa maslahi yao wamesitisha likizo wakarudi Ofisini kukemea.?
 
PSSSF ni kizungumkuti. Ati Sheria mpya inaanza rasmi kuuma August 1. Nini fate ya wale walioachishwa kazi before July, 2018 kushuka chini huko? Watu wanasubiri muda mrefu.

Mambo yanayoelezwa hayaingii akilini hata kidogo. The crazy kanuni labla ni applicable elsewhere lakini sio bongo.

Swali kuu ni kwamba why are you tempering with my money?!!!! Kwa nini mmipangie??!!! SITAKI. Wengi wa wafanyazi mnaowababaisha na hizo lousy kanuni ni malofa. Hawataki kanuni. Wanataka pesa zao zote. Period.

Tangu habari za mabadiliko PPF na NSSF zitande imekuwa mwiba mchungu na wenye sumu kali kwa wafanyazi hasa wenye vipato vidogo.

Yaani hata laki moja unawekewa mashati lukuki kuipata. Kwa kweli adui mkubwa kwa watz kwa sasa ni hawa jamaa.

Blabla zinazoendelea sasa kuhusu fao la kukosa ajira kama mbadala wa withdrawal, ni geresha tu. It is totally ridiculous.

Ukweli ni kwamba mifuko ya hifadhi ya jamii ni source nzuri sana ya mapato kwa Serikali.

Ukweli ni kwamba Gvt imeamua makusudi kuwaibia wanachama wa mifuko hii na umma unapumbazwa kupitia vibaraka kama SSRA na baadhi ya wahariri wa media.
Si kweli kwamba Serikali inajali welfare ya mtanzania atakapokuwa mzee wa miaka 60. Ni unafiki mtupu. Wanajua wakikunyima pesa yako sasa utakufa anyway na hivyo kutodai mafao yako.

Hivyo PSSSF na NSSF kupendelea kuneemeka kwa pesa za wafu. Cursed SSRA. Why nilazimishwe kusubiri miaka 55 kuchukua pesa yangu ya mafao baada ya kuachishwa kazi? Kwa nini nilazimishwe kuchukua roborobo kupitia ujinga unaoitwa unemployment benefit!!? A stinking usanii!

Wanasema unapoacha kazi sehemu A uombe kazi sehemu C! Hivi akina lousy Mhagama wanajifanya hawajui ugumu wa kupata ajira Bongo? Kwa uchumi gani?

Wanapata wapi courage ya kumwambia mtu aliyeacha kazi akiwa na miaka 49 asubiri hadi miaka 60 ndio achukue pesa zake ambazo kiukweli ni ndogo masikini. Nani atamwajiri mtu mwenye miaka 50?


Nasikia hawajazingatia hata mfumuko wa bei. Ukiwa na laki moja baada ya miaka 10 utakuja kulipwa kiasi hicho hicho. No interest. No nothing. Huu ni mpango wa ovyo kabisa na ni kaburi kwa wanachama wenye mishahara midogo.

Mtu ana milioni 2 mnataka kumpa kidogo kidogo eti kusubiri apate ajira nyingine. Si mumpe hela yake akajiajiri?

This is a great injustice and the whole law is bad very bad to low income earners.

Ajira hakuna waacheni wanachama watafute plan B. Kwani lazima kuajiriwa? Watu wapewe pesa zao bwana pindi tu wanapoacha kazi.

Mtajitakia laana za bureee wanachama wakifa kabla ya kulipwa fedha zao.
Mkuu pole sana ila usiwalaumu mifuko mhusika mkuu na mporaji wa pensheni ya wastaafu ni mamlaka. Pesa za mifuko wazipeleka kusikojukana sasa watunga sheria kandimizi kwa wastaafu ili wasinufaike na majasho yao.
 
Back
Top Bottom