PSRS mtaua vijana mtaani, toeni ajira

PSRS mtaua vijana mtaani, toeni ajira

Ndio utakuwa hivyo. Kwa hiyo tangia utume ombi la ajira, usaili mpaka kuanza kazi rasmi ni mchakato wa zaidi ya nusu mwaka. Jobless hatuna namna, ni kuwa watulivu tu na kuvumilia.
Sasa wewe unalalamika kuna mtu ana miezi nane mpaka saizi bora hata halmashauri wako faster taasisi usiguse
 
Sasa wewe unalalamika kuna mtu ana miezi nane mpaka saizi bora hata halmashauri wako faster taasisi usiguse
Huyo kashafutwa kazi bila kujua. Yaani mtu amebeba mimba mpaka anakaribia kujifungua anasubiri kuitwa kazini kweli!
 
Back
Top Bottom