Nimekuwa nikisubiri zile post 101 za Maafisa Utumishi daraja la II kuitwa kwaajili ya usaili lakini hadi leo patupu.....inakuwaje maana deadline ilikuwa tar 11 June, au ndio Serikali haina hela kwahiyo wana-buy time kiaina?
madukwappa: Majanga kwahiyo kinaweza kuwa kitu cha 18,000 kama kule kwa jirani (Uhamiaji). We still have a long long way to go.