Usishangae mkuuu svoca wametatangaza kwenye gazet kwa kuwa ile ni tume huru haipaswi kuingiliwa maamuzi yake na chombo chchote kile. Psrs walitangaza lakn michakato mingine yote itafanywa na tume yenyewe ndio maana hata usahili utafanyika kwenye tume yenyewe akibaa
Naomba nikukosoe hapo kwamba si kweli kwamba usaili ukiendeshwa na PSRS itakuwa imeingilia uhuru wa tume ya utumishi mahakama (JSC)
Mfn post za mwanzo za arbitrator na mediator usaili uliendeshwa na PSRS.. Mi nadhan kama mahakama wenyewe wameamua kuendesha usaili huu si tatzo coz ni suala la makubaliano tu
ikumbukwe kuwa sekretariati ya ajira ni taasisi ya umma. . Hivyo taasisi nyingine yoyote ya kiserikali inaruhusiwa kukitumia chombo hiki ktk michakato ya ajira
hivyo ht kama taasisi kisheria imepewa mamlaka ya kuajiri.. Haikatazwi kuwaomba PSRS waendeshe mchakato kwa niaba taasis husika na haiwez kuchukuliwa kama kuingiliwa uhuru kwa sababu unaomba mwenyewe kusaidiwa mchakato husika
kwa mfn. Chuo kikuu Mzumbe kina mamlaka ya kuajiri wataalamu wake lakin hawakatazwi kuomba jukumu hilo kutekelezwa na PSRS kwa niaba yke
hali kadhalika JSC imepewa mamlaka ya kuajiri lakini haizuiwi kuomba kwa wakati flan mchakato wa ajira kufanywa na PSRS
Hivyo inawezekana waliomba kaz hizo za arbitrator zijumuishwe kwenye tangazo la PSRS na wakakubaliana usaili uendeshwe na JSC wenyew.. Nadhan ni jambo la kawaida na hakuna mwingiliano wa uhuru
ingekuwa JSC wamelazimishwa wazipeleke ajira PSRS bas tungesema ni kweli kuna kuingiliwa uhuru
NB: Ikumbukwe kuwa kwenye jopo la usaili kunakuwa na maafisa wa PSRS na wawakilishi wa MWAJIRI.. na maamuzi yanafanywa makubaliano