chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,202
- 20,960
Kama kuna ukurasa mpya katika vita ya kuziba mianya ya rushwa basi iko Pspf.
Shirika hili linasumbua wanaodai mafao kiasi kwamba linahitaji uongozi wa shirika uamke kabla Takukuru haijaanza kuwadaka vijana wanaofanya kazi hapo kama kuku
Utoaji Huduma wa hili shirika ni wazi wanataka rushwa ili kuharakisha malipo,Mara kadhaa nimezhuhudia wazee wakilia mbele yana vijana hao au kufokeana kwa sauti kubwa kisa hawaa vijana wanakwamisha malipo
Japo nawapongeza watu wanaoandaa matangazo,lakini nashauri Takukuru wapige kambi hapo na washirikiane vizuri na wadai mafao
Haitapita mwezi watakamata aliyenona
Wakurugenzi na Bodi amkeni kabla hamjaamshwa na mwenye nyumba mkaondoka kwa aibu
Shirika hili linasumbua wanaodai mafao kiasi kwamba linahitaji uongozi wa shirika uamke kabla Takukuru haijaanza kuwadaka vijana wanaofanya kazi hapo kama kuku
Utoaji Huduma wa hili shirika ni wazi wanataka rushwa ili kuharakisha malipo,Mara kadhaa nimezhuhudia wazee wakilia mbele yana vijana hao au kufokeana kwa sauti kubwa kisa hawaa vijana wanakwamisha malipo
Japo nawapongeza watu wanaoandaa matangazo,lakini nashauri Takukuru wapige kambi hapo na washirikiane vizuri na wadai mafao
Haitapita mwezi watakamata aliyenona
Wakurugenzi na Bodi amkeni kabla hamjaamshwa na mwenye nyumba mkaondoka kwa aibu