unatumia simu gani? Kama ni nokia symbian ni vizuri kutumia opera 12 ya symbian kama proxy inakubali resume hutapata shida.
Kama ni s40 za kawaida tumia ucweb real host (kwa mafile madogo)
Sometime kuna website zinakua busy sana (hasa za video, movies, series) so inabidi urudie mara nyingi ili kupata hio link na connection time out itatokea mara kwa mara kila website inapokua busy
unatumia simu gani? Kama ni nokia symbian ni vizuri kutumia opera 12 ya symbian kama proxy inakubali resume hutapata shida.
Kama ni s40 za kawaida tumia ucweb real host (kwa mafile madogo)
Sometime kuna website zinakua busy sana (hasa za video, movies, series) so inabidi urudie mara nyingi ili kupata hio link na connection time out itatokea mara kwa mara kila website inapokua busy
mkuu.. naomba link ya opera 12. nimezoea hzi za 4.4 5.4 beta. 6.5 Na 11
Natumia nokia s60v3, na pia natumia hiyo opera mobile 12 pamoja na ucmobile, internet browsing haina shida ila inapofikia suala la download, nikijaribu kwa browser zote hizo zinafanya same thing at the same point!! Ina download poa with great speed but ikishagonga MB kadhaa, maybe MB 5, connection inakata!! Na huwa sipati tena connectioN mpaka kesho yake kila napojaribu!! Hii ni kwa aina yoyote ya file nalo download huenda mchezo huo unafanywa na proxy server au ISP???
vipi kaka yangu n nokia 5700 si ya kichna itakubal then steps zake n zip but xory coz nshazoea za pc
vipi kaka yangu n nokia 5700 si ya kichna itakubal then steps zake n zip but xory coz nshazoea za pc
unatumia simu gani? Kama ni nokia symbian ni vizuri kutumia opera 12 ya symbian kama proxy inakubali resume hutapata shida.
Kama ni s40 za kawaida tumia ucweb real host (kwa mafile madogo)
Sometime kuna website zinakua busy sana (hasa za video, movies, series) so inabidi urudie mara nyingi ili kupata hio link na connection time out itatokea mara kwa mara kila website inapokua busy