Proved: TBC1 haitarusha bunge live

Proved: TBC1 haitarusha bunge live

haishangazi ndio maana tuanaenda kinyumenyuma na maendeleo inaendelea kuwa ndoto ya alinacha.
nijuavyo mimi ni kuwa ukiingia kweye biashara ya usafiri lengo ni kupata abiria
ukifungua mgahawa na kupika chakula unategemea kiuzwe na kuisha na yasibaki makombo
chombo cha habari kama magazeti nia ni ukichapisha yakenda mtaani kusiwepo na return
wenye blogs na websites nia yao ni zifikiwe na watu wengi kadri iwezekanavyo
Sasa inakuwaje TBC wameanzisha matangazo ya television alafu hawataki watu wayaangalie!??? Haya ni maajabu mengine ya Tanzania!!!

hayana maslahi kwa wamiliki
 
Inawezekana maana jana Rais akiwa kwenye mkutano wa CCM Iringa alivunja katiba kwa kusema atawakata mapembe wananchi ambao wanadai haki katika kulinda raslimali za Taifa lao kwa mujibu wa katiba yetu.
Agekuwa ametamka maneno hayo mtu mwingine, muda huu angeitwa mchochezi na tayari MWEMA angetumwa haraka kumkamata.
Naungana na Wabunge Vita Kawawa na Zedi walisema kwenye mahojiano na ITV kuwa wananchi wapewe taarifa sahihi pia wajue umuhimu wa mradi mkubwa wa GESI.
Sasa Kikwete baada ya kusaini mikataba 19 na WACHINA analeta vitisho visivyo na maana kwa wananchi kuwa atawakata mapembe! Atashindwa kwa ajili ya maendeleo ya nchi, na kama amesaini mikataba hiyo usiku kwenye dhifa bila kuipeleka bungeni damu ya wananchi itakuwa mikononi mwake.
Pia matamshi ya Anne Killango bungeni nayo ni ya kutumwa ili kufunka ukweli, anasema baada ya kugunduliwa GESI na URANI basi mataifa ya nje yanajiingiza nchini kuleta vurugu. mama huyo naye aliongea kana kwamba anaigiza kumbe mnafiki.
me nahis ulimi uliteleza maana pembe halikatwi,hung'olewa sasa huenda alimaanisha kuwang'oa KUCHA
 
Ngoja hiyo kesho ifike halafu nishindwe kuona kauli rasmi ya serikali. Kuna baadhi ya habari hata hazifiki karibu na sikio, achilia mbali kuzitafakari.
 
Flow of information TV is just one of the channels jamani na kwa taarifa yenu wanaomiliki TV hawazidi 30%
Mnavozidi changanyikiwa naona mtafunga mpaka internet,sms via mobile phones,blogs etc
Mjifunze toka Egypt huwezi zuia kuloa na mvua kwa kujikinga na gazeti!
 
...ngoja wampate mchawi kwanza ndo watarusha tena...
 
Inawezekana maana jana Rais akiwa kwenye mkutano wa CCM Iringa alivunja katiba kwa kusema atawakata mapembe wananchi ambao wanadai haki katika kulinda raslimali za Taifa lao kwa mujibu wa katiba yetu.
Agekuwa ametamka maneno hayo mtu mwingine, muda huu angeitwa mchochezi na tayari MWEMA angetumwa haraka kumkamata.
Naungana na Wabunge Vita Kawawa na Zedi walisema kwenye mahojiano na ITV kuwa wananchi wapewe taarifa sahihi pia wajue umuhimu wa mradi mkubwa wa GESI.
Sasa Kikwete baada ya kusaini mikataba 19 na WACHINA analeta vitisho visivyo na maana kwa wananchi kuwa atawakata mapembe! Atashindwa kwa ajili ya maendeleo ya nchi, na kama amesaini mikataba hiyo usiku kwenye dhifa bila kuipeleka bungeni damu ya wananchi itakuwa mikononi mwake.
Pia matamshi ya Anne Killango bungeni nayo ni ya kutumwa ili kufunka ukweli, anasema baada ya kugunduliwa GESI na URANI basi mataifa ya nje yanajiingiza nchini kuleta vurugu. mama huyo naye aliongea kana kwamba anaigiza kumbe mnafiki.
Rais hakusema hivyo ninyi ndio wachochezi nilichosikia mimi alisema waliosababisha vurugu watasakwa hadi wapatikane iwe ndani iwe nje. Sasa hayo mapembe alikwambia wewe kwani wewe una mapembe mbona siye binadamu tuna masikio. Acheni kuzusha maneno ya uchochezi kutaka misifa isiyo tija.
 
Ndio ukweli wenyewe toka ndani ya TBC kuwa simu imetoka magogoni na mjengozi

Kwanza kupunguza freequence za wenyemadishi kupata chanell

Pili kutorusha vipindi vya bunge hasa swala na gesi mpaka further notice
ili wafiche ukweli wa mambo.. yaani serikali hii imelaaniwa..
 
Rais hakusema hivyo ninyi ndio wachochezi nilichosikia mimi alisema waliosababisha vurugu watasakwa hadi wapatikane iwe ndani iwe nje. Sasa hayo mapembe alikwambia wewe kwani wewe una mapembe mbona siye binadamu tuna masikio. Acheni kuzusha maneno ya uchochezi kutaka misifa isiyo tija.


Wa Kibanda na Ulimboka wao si muhimu kupatikana, muhimu zaidi ni walioleta vurugu Mtwara!
 
Ndio ukweli wenyewe toka ndani ya TBC kuwa simu imetoka magogoni na mjengozi

Kwanza kupunguza freequence za wenyemadishi kupata chanell

Pili kutorusha vipindi vya bunge hasa swala na gesi mpaka further notice

TANZANIA kwa hapa ilipo ipo katika hatua za enzi ya mwisho ya utawala wa Moi wa Kenya
 
Jamiiforums inatosha, sina haja ya TBCCM kwa kuwa inatupa taarifa kidogo ukilinganisha jamvi hili,waache tu...
 
Hata Tunisia na Egypt walikata mawasiliano ya simu vilevile lakini hawakuweza!!!!
 
wameshachanganyikiwa kwaiyo hawajui wanachokifanya
 
Hata Tunisia na Egypt walikata mawasiliano ya simu vilevile lakini hawakuweza!!!!
hawakuweza ndio lakini hao wamisri na tunisia walichokitaka maeshakipata? mbona kama wale waliowaamini kuwa ndio watawabadilishia halii ya maisha yao ndio wanawageuka tena?
 
Tanzania eeh nchi yangu eeh nakupenda oooh ntang'olewa kucha eeeh,taarifa zetu tutazipata toka kwa wageni,wasirushe poa tu
 
Bora wasionyeshe maana watu wanaserukamba sana

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Wanauzunguka mmbuyu hii ndo Tadanganyika ya leo na ijayo wanawani
:
 
Rais hakusema hivyo ninyi ndio
wachochezi nilichosikia mimi alisema waliosababisha vurugu watasakwa
hadi wapatikane iwe ndani iwe nje. Sasa hayo mapembe alikwambia wewe
kwani wewe una mapembe mbona siye binadamu tuna masikio. Acheni kuzusha
maneno ya uchochezi kutaka misifa isiyo tija.

Yasadikika kuwa masikio yako yanachagua vya kusikia! kama hukuchelewa kuangalia habari hiyo. Hayo yalitamkwa na Rais mwenyewe, kisha Nchimbi akaendeleza kukazia! Duh! UNAZI NOMA jamani! unakataa live! Mtanzania kweli wewe?
 
Yasadikika kuwa masikio yako yanachagua vya kusikia! kama hukuchelewa kuangalia habari hiyo. Hayo yalitamkwa na Rais mwenyewe, kisha Nchimbi akaendeleza kukazia! Duh! UNAZI NOMA jamani! unakataa live! Mtanzania kweli wewe?
Leo nimechoka kubishana.
 
Back
Top Bottom