Proposed The Public Order Act 2016

Dr. Msafiri

JF-Expert Member
Feb 14, 2011
471
154
Baadhi ya Nchi (haswa 'zilizoendelea') zilipiga marufuku uvaaji wa sare za vyama vya siasa kwa madhumuni ya kujenga na kuendeleza utaifa na utengemano wa wananchi haswa baada ya michakato ya uchaguzi!
Kwa hiyo nchi hizo zilitunga sheria ya kukataza "political uniforms"!
Kwa hatua taifa lilikopitia, sasa tunahitaji kupiga marufuku sare za vyama vya siasa na pia vikundi vyao vya ulinzi.
Wiki hii Rais alikutana na wanaCCM wenzie wasiovaa sare pale Ikulu na 'reaction' ya jamii haikuwa na ukakasi mkubwa.
Seriously we need fundamental changes in our society for sustainable development!
Nawasilisha!
 
Baadhi ya Nchi (haswa 'zilizoendelea') zilipiga marufuku uvaaji wa sare za vyama vya siasa kwa madhumuni ya kujenga na kuendeleza utaifa na utengemano wa wananchi haswa baada ya michakato ya uchaguzi!
Kwa hiyo nchi hizo zilitunga sheria ya kukataza "political uniforms"!
Kwa hatua taifa lilikopitia, sasa tunahitaji kupiga marufuku sare za vyama vya siasa na pia vikundi vyao vya ulinzi.
Wiki hii Rais alikutana na wanaCCM wenzie wasiovaa sare pale Ikulu na 'reaction' ya jamii haikuwa na ukakasi mkubwa.
Nawasilisha!
Ikulu ni pa wote ndio maana aliwazuia ccm wenzie kuvaa sare,lakin wakikutana diamond jubilee kapelo kama kawa
 
Je, Mwalimu Nyerere alivyaa nguo za kukitambulisha chama chake? Ni kwa nini?
Tafakari!
 
Mkuu wakipiga marufuku itakuwaje maana ccm wamezoea kugawa t-shirts na kofia ili kuomba kura
 
Baadhi ya Nchi (haswa 'zilizoendelea') zilipiga marufuku uvaaji wa sare za vyama vya siasa kwa madhumuni ya kujenga na kuendeleza utaifa na utengemano wa wananchi haswa baada ya michakato ya uchaguzi!
Kwa hiyo nchi hizo zilitunga sheria ya kukataza "political uniforms"!
Kwa hatua taifa lilikopitia, sasa tunahitaji kupiga marufuku sare za vyama vya siasa na pia vikundi vyao vya ulinzi.
Wiki hii Rais alikutana na wanaCCM wenzie wasiovaa sare pale Ikulu na 'reaction' ya jamii haikuwa na ukakasi mkubwa.
Seriously we need fundamental changes in our society for sustainable development!
Nawasilisha!


Lakini alichofanya yeye ni kinyume na unachotaka kumaanisha..Rais wa Watanzania wote anafanyaje kikao cha Chama Ikulu kwa gharama ya kodi za Watanzania wote wa itikadi mbalimbali na wasio na Itikadi?

Kwanza Aombe Radhi na CCM walipe gharama zote.

Anatangaza kubana matumizi halafu anaendekeza anasa ya matumizi mabaya ya Madaraka,Ofisi na Raslimali za Umma?
 
Kufanyia vikao vya chama Ikulu ni matumizi mabaya ya madaraka, Ndiyo maana ni marufuku kuendesha mikutano ya Kisiasa nakazini!
 
Ni sawa hoja zote hizi kwamba hiyo sheria izingatie hayo na mengineyo ili tujenge umoja wa kitaifa kwa maendeleo ya wote.
Angalia Amerika hivi sasa vyama vinaendesha kampeni lakini havina sare. Wanatumia mabango 'disposable'!
 
No ni wabunge wa chadomo ndiyo watapayuka kuzuia, maana huwa wanapiga dili kinoma kwenye nuniform (maana tenda zote zinashikiliwa na wachaga)
Wachaga ndio wamekushikia akili ndio maana unawawaza.
 
Lakini alichofanya yeye ni kinyume na unachotaka kumaanisha..Rais wa Watanzania wote anafanyaje kikao cha Chama Ikulu kwa gharama ya kodi za Watanzania wote wa itikadi mbalimbali na wasio na Itikadi?

Kwanza Aombe Radhi na CCM walipe gharama zote.

Anatangaza kubana matumizi halafu anaendekeza anasa ya matumizi mabaya ya Madaraka,Ofisi na Raslimali za Umma?
Siku Lissu,Mbowe,Baregu walipoenda kunywa chai na JK na magwanda ikulu nani alilipia,au ndio akili za kuku
 
Back
Top Bottom