Propoganda za Waislam dhidi ya mataifa ya Magharib juu ya ugaidi

Status
Not open for further replies.

Captain mopao

Senior Member
Feb 25, 2021
133
379
Habari zenu humu ndani
naomba kuleta mada tujadili kuhusu suala zima la ugaidi
Kwanza tupate maana ya ugaidi ugaidi ni kitendo au vitendo vya mauaji au haribu mali kinachofanywa na kikundi cha watu au mtu kwa lengo la kushikiza jambo fulani au kutaka kitu flan, ugaidi wa mtu dhidi ya mtu ugaidi wa watu dhidi watu ugaidi wa imani dhidi ya iman nyingine au ugaidi wa watu dhidi ya serikali mfano hapa africa kuna baadhi ya vikundi vinavoishi msituni na kuua kwa sababu ya utofaut wa sera na matakwa dhidi ya serikali zilizopo mdarakani vikundi hiv ni km mai mai m23 nk,

Leo tuongee kuhusu ugaidi wa dini dhidi ya dini huu ndio ugaidi unaotesa dunian nzima uislam ukihusishwa dhidi ya iman zingine
Ugaidi huu kwa tafsiri ya baadhi ya waislam unatafsiriwa kuwa ni mwendelezo wa jihad alioianzisha mtume Muhammad dhidi ya makafili

Ijakpokua wapo baadhi ya waislam wanakataa na kusema ya kua jihad illishia kipindi cha mtume tu
Hawa wasiosadiki jihad kwa kinywa ilihali moyoni nafsi zawasuta wamefika mbali sana hata kuyapa lawama mataifa ya magharib kua yanafanya uasi kujificha nyuma ya dini yao na kua wao ni watu wema
Siwez kuyasadiki haya ilihali alieanzisha jihadi ni mtume na wala sio America

Leo hii ndugu zangu waislam wamekua ni watu wa kueneza propoganda na kupandikiza chuki kwa watu wenye uelewa duni dhidi ya America, naweza kusema USA ana madhira yake ambayo yeye ni mtu wa vita ni sawa na tumeshuhudia America akiwaangamiza maadui zake wazi wazi bila ya kificho wala mgongo wa jambo fulani mfano sadam Hussein Osama bin Laden na wengineo

Anachofanya america sio ugaidi ni vita maana upande mwingine kuna jesh na upande mwingine kuna jeshi so either afe america au adui yake tofaut na ugaidi ambao ni watu wenye siraha dhidi ya raia wema

Unaweza ukajiuliza nchi zenye machafuko mengi mauaji kupora haki za binadam na majanga mengi ni nchi za kiislamu

Na ukitaka ujue waislam ni watu wa namna gani unaweza fatilia baadhi ya matukio ya hapa nchini kama maandamano yaliowahi kutokea hapo miaka ya nyuma kwa sababu ya mtoto kukojolea Quran wale ndo waislam halisi huwez kusema america iliwatuma waandane rejea matukio ya ma padri kumwagiwa tindikali zanzibar rejea kuchomwa moto makanisa Zanzibar

Malizia na halakat za mashekh uamsho waliopo jela
Kutenganisha uislam na ugaidi ni sawa na kutenganisha sukar ilio ndan ya uji

Unaweza kupata picha nini kinaendela Nigeria baada ya kutengana pia tafta history kilitokea nini baada ya mombasa kutaka kujitegemea hata hapa zanzibar unaweza kujiuliza kwanini selikari wanaulinda muungano kwa nguvu zote

Kwa taswira ya wazi kbsa ni kosa kumhusisha America na ugaidi na ni sahihi kumhusisha America na vita

Ukienda Israel radical Muslim wanawapa train watoto kujitoa mhanga kupiga mawe askar na magar ya wayahudi

Kiufupi uislam ume take %90. 9 9ya ugaidi dunian naishia hapa mwenye mawazo tofauti aje.
 
Wewe ndo gaidi namba moja kwanza kuandika hujui unaandika kama kuku mwenye mimba ya majogoo mawili tumboni
 
Nachukia hizi mada, zinaleta chuki ndani ya jamii.
Wewe unafikiri waislamu wanajisikiaje unavyo-generolize waislamu ndo magaidi.
Acha hizo bana. Tanzania Ni nchi ya amani na dini zote tuishi kwa upendo .
 
Mpumbavu wewe.Nyie ndio makafiri yenyewe mnaotufaulishia hata watoto wetu mashuleni wakifaulu.Mkikuta watoto wa kiislam wanapata alama za juu mnawakata na kuwaweka makafiri.Tena ukome kutuzungumza waislamu na uislamu.Uonevu huzaa Jihad.Na Jihad kwa ujinga uliokuwa nao SIO kushika bunduki,wala mkuki wala bomu.Jihad ni kumcha ALLAH ambaye Hakuzaa wala Kuzaliwa.Mpuuzi wewe.
 
Hapa kuna msikiti m1 watoto walijua wanafundishwa kareti na mbinu zingine za mapigano,wakimaliza masomo yao ya vitabu darasani wanaanza kujifunza kupigana,unajiuliza watu hawa wana shida gani? Toka lini huyo MUNGU anapiganiwa kumuamini kwa kuua watu wengine?na unapomfundisha mtoto hiyo chuki toka msikitini anakua nayo hiyo ni hatari,hata bila ya hiyo Jihad, mtoto anaweza kua ni jambazi tu..wana shida kubwa sana watu ktk imani hii
 
Nachukia hizi mada, zinaleta chuki ndani ya jamii.
Wewe unafikiri waislamu wanajisikiaje unavyo-generolize waislamu ndo magaidi.
Acha hizo bana. Tanzania Ni nchi ya amani na dini zote tuishi kwa upendo .
Kweni wewe unafikiri wameathirika vipi wale waliopata madhara yatokanayo na ugaidi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom