Prophet Daniel Daniel Shillah ni nani hasa...?

Yanafurahisha kama uchaguz wa 2020
 
Wakristo hivi mbona mko hivi mara mnanyweshwa Ditto, kuvuliwa chupi, kuunguzwa Moto (Kibwetere), wengine wanaahidi kufufua lkn wapi hafufuki wanapiga mipesa yao hao manabii na wachungaji wanaishi maisha ya kifahari waumini mateso kila uchao.
Shule mlienda kufanya nini maana tumebakia kuvaa TAI na SUTI tu licha ya kuwa na elimu..... Tizinduke bado hatujachelewa!!!!
 
Subiri povu.
 
Xhoga, mhuni, na tapeli, na kichaka chake cha kanisa kimeshafungiwa na serikali.
 
Duniani hakuna viumbe wajinga kama Waafrica...naanza kuelewa kwanini Kanye West alisema "enslavement of Africans was just a choice"
 
kaka hujui hili si tatizo la wakristo ni letu sote, unasahamu manabii wanaojiita ustadhi na inamaana hujui ni waislam wangapi wameingia huko? HILI LA WOTE MKUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…