Prophet Daniel Daniel Shillah ni nani hasa...?

Huyu kijana anajishughulisha na kilimo. Na anazo mashine za kusaga nafaka kama mahindi na ku pack kwenye Mifuko. Hivyo utajiri wake hautokani na sadaka, kwa kuwa hata huduma kaanza sio siku nyingi. NA HII TABIA YA KUONA MTUMISHI WA MUNGU ALIYE NA HALI NZURI NI UTAPELI MMEITOA WAPI? AU MNATAKA WAWE MASKINI NDIO WATAONEKANA KUWA WATUMISHI WA MUNGU? KAMA DINI ZENU ZINAWAFUNDISHA HIVYO TAFADHALI MTUACHIE WACHUNGAJI NA WATUMISHI WETU.
 
"No matter the economy of the jungle, Lions will never eat grass."

Dogo yuko smart sana!

Hayo mengine nawaachieni!
 
Ndio yale yale ya Tapeli Bushiri
 
Huyo mnyoa kiduku ni mtumishi wa Mungu?
 
"No matter the economy of the jungle, Lions will never eat grass."

Dogo yuko smart sana!

Hayo mengine nawaachieni!
Hana u smart wowote nikuambie tu kwanza dogo hajielewi yule ana makando kando mengi sana
 
"If gold must be gold, it must pass through the furnace - it must be refined. Whatever you are going through is to refine you."
 
Katika mitandao ya kijamii hasa mtandao wa Instagram kumekuwa na kijana mdogo anayejiita nabii shillah, na amekuwa akitangaza kanisa lake mara kwa mara huku akijinasibu hadi kuwapa hela waumini kila jumapili,

Lakini kwa lifestyle ya huyu kijana nimwkuwa na mashaka mara kwa mara kama kweli anapaswa kujiita nabii au anacheza na Dini za watu



Mdogo mdogo naanza kumuunga mkono kagame kuwabana hawa watu, wanaoleta usanii na imani za watu
 
Kanisa lake ndio linaitwaje? Maana hizi dini hata sijui zinapataga vipi waumini...
 
Huyu kijana aliweka kambi Geza kigamboni akawa anatoa mahubiri yake pale. Juzi kati kasepa kabisa maeneo na inasemekana amekula mshiko mrefu wa waumini wake. Ni kijana muhuni tu anashibia matatizo ya watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…