Chief Kabikula JF-Expert Member Jan 1, 2019 7,567 9,026 Aug 11, 2020 #1 Kweli kwa mwendo huu upinzani umekufa Tanzania?Au walikuwa wanaota ndoto za mchana.
F FUSO JF-Expert Member Nov 19, 2010 31,637 37,850 Aug 11, 2020 #4 Walijidanganya mno kipindi cha ile biashara ya wabunge na madiwani wenye njaa!! Aibu yaja!!
Joselela JF-Expert Member Jan 24, 2017 5,676 6,961 Aug 11, 2020 #5 Ngoja yaje mafuriko ya CCM muanze kusema wanaediti au wanasombwa na malori...
Gmox JF-Expert Member Mar 31, 2014 318 475 Aug 11, 2020 #9 Mi naona ɓora waomɓe poo tu maana sio ƙwa mtiti huu😂😅
harder king JF-Expert Member Jan 21, 2017 3,970 6,898 Aug 11, 2020 #10 Hapa ndio wanashtuka kumbe walikua wananunua mapepe na kuacha ngano chini sasa inawamaliza kimya kimya.
Hapa ndio wanashtuka kumbe walikua wananunua mapepe na kuacha ngano chini sasa inawamaliza kimya kimya.
F fazili JF-Expert Member Jun 10, 2011 13,813 18,549 Aug 11, 2020 #11 Ndio kwanza upinzani unachipua tena kwa staili mpya.
Chief Kabikula JF-Expert Member Jan 1, 2019 7,567 9,026 Aug 11, 2020 Thread starter #12 Walidanganywa na waunga mkono juhudi wakadhani upinzani umekufa