Propaganda Machines - "Tuna-test Mitambo"

Propaganda Machines - "Tuna-test Mitambo"

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
17,572
Reaction score
27,314
Kila hadithi inahitaji Villain.....; Hata Biblia ina Shetani
  • JPM na Mabeberu
  • Hitler na Jews; n.k.
Sasa naona kuna Story zina-test mitambo kuona ipi itastick vizuri ili tukimbie nayo
  • Iwe ya Kidini kwamba ni Imani fulani ndio haitaki au inachochea kitu fulani
  • Iwe ni majirani na vita vya kiuchumi
  • Iwe Akili Mnemba
  • Iwe wafanya fujo na wasiotakia taifa Amani - Waporaji wa mali za watu
Ni mengi tutaendelea kuyasikia, na kunyoshea vidole wengine na kamwe sio kujiangalia wenyewe...

Nimejikuta nakumbuka qoute ya 2Pac kwenye Only God can Judge Me.....
"And they Say it's the White Man I should Fear, but it's my Own Kind doing all the Killing Here"​
 
Hitler was against commmunists, ingawaje jews wengi wengi waliuliwa lkn communists pia na adui mkubwa wa Hitler walikuwa communists, wengi hawalielewi hili na wanaolielewa wanapotosha, vita yote ilikuwa ni against communism iliyokuwa inashamiri Ulaya enzi hizo, karl marx na engel wote walikuwa ni wajerumani pia...
 
Halafu sijui kwanini hizo mbinu za hadaa hazifanyi kazi kirahisi kama zamani.

Watu wameamka kiakili sana, huwezi kuwazuga kitoto kama anavyofanya Lucas Mwashambwa

Wanatakiwa watumie akili kubwa sana kuunda uongo, vinginevyo ni majanga.
 
Hitler was against commmunists, ingawaje jews wengi wengi waliuliwa lkn communists pia na adui mkubwa wa Hitler walikuwa communists, wengi hawalielewi hili na wanaolielewa wanapotosha, vita yote ilikuwa ni against communism iliyokuwa inashamiri Ulaya enzi hizo, karl marx na engel wote walikuwa ni wajerumani pia...
USA na Communism......; na hii ipo mpaka leo ndio maana Mamdani alipata shida sana huko kwenye Mayor Race New York na mpaka leo Bernie Sanders anaonekana kama ni Taboo (Socialist)

Ofcourse ingawa na Communists walipata pigo mwanzo mwanzo ila flag bearer alikuwa ni Jews

Hitler's regime used Jews as a central component of its propaganda machine by demonizing and dehumanizing them to justify their systematic persecution, exclusion from society, and ultimately, genocide. The propaganda blamed Jews for Germany's economic, social, and political problems, presenting them as an existential threat to the "German race".
 
Hitler was against commmunists, ingawaje jews wengi wengi waliuliwa lkn communists pia na adui mkubwa wa Hitler walikuwa communists, wengi hawalielewi hili na wanaolielewa wanapotosha, vita yote ilikuwa ni against communism iliyokuwa inashamiri Ulaya enzi hizo, karl marx na engel wote walikuwa ni wajerumani pia...
Hitler alikua akipambana na wayahudi waliotawala dunia kupitia pesa, wayahudi wa Soviet Bolsheviks walikua wacommunist,alipambana nao kwa kuona wanapata base kubwa Soviet
Ndiyo maana baada ya WWII kuisha, general wa marekani alisema tumepigana na adui siye
Rejea vita vya Bonaparte na uingereza uone wayahudi walivyowachezea kekundu keupe ufaransa na uingereza,tafiti federal reserve inavyoiweka USA kifungoni na Marais waliyoipinga yaliyowakuta
 

Attachments

  • IMG_20250805_131939_737.jpg
    IMG_20250805_131939_737.jpg
    83.4 KB · Views: 10
Hitler alikua akipambana na wayahudi waliotawala dunia kupitia pesa, wayahudi wa Soviet Bolsheviks walikua wacommunist,alipambana nao kwa kuona wanapata base kubwa Soviet
Ndiyo maana baada ya WWII kuisha, general wa marekani alisema tumepigana na adui siye
Rejea vita vya Bonaparte na uingereza uone wayahudi walivyowachezea kekundu keupe ufaransa na uingereza,tafiti federal reserve inavyoiweka USA kifungoni na Marais waliyoipinga yaliyowakuta
Kumbe hata maguluguja kama wewe mnajua jua historia ya dunia?

Kheee! Hongera! Umeishia fom foo? hukusoma sana?

Au ulijiendeleza? Una digriii? Loh 😀😀😁😁😁😁😁😁

Haya ndo maguluguja mpechempeche.
 
Halafu sijui kwanini hizo mbinu za hadaa hazifanyi kazi kirahisi kama zamani.

Watu wameamka kiakili sana, huwezi kuwazuga kitoto kama anavyofanya Lucas Mwashambwa

Wanatakiwa watumie akili kubwa sana kuunda uongo, vinginevyo ni majanga.

 
Hitler alikua akipambana na wayahudi waliotawala dunia kupitia pesa, wayahudi wa Soviet Bolsheviks walikua wacommunist,alipambana nao kwa kuona wanapata base kubwa Soviet
Ndiyo maana baada ya WWII kuisha, general wa marekani alisema tumepigana na adui siye
Rejea vita vya Bonaparte na uingereza uone wayahudi walivyowachezea kekundu keupe ufaransa na uingereza,tafiti federal reserve inavyoiweka USA kifungoni na Marais waliyoipinga yaliyowakuta

lkn hao hao bo pia wa financs islam europe ...
USA na Communism......; na hii ipo mpaka leo ndio maana Mamdani alipata shida sana huko kwenye Mayor Race New York na mpaka leo Bernie Sanders anaonekana kama ni Taboo (Socialist)

Ofcourse ingawa na Communists walipata pigo mwanzo mwanzo ila flag bearer alikuwa ni Jews

Hitler's regime used Jews as a central component of its propaganda machine by demonizing and dehumanizing them to justify their systematic persecution, exclusion from society, and ultimately, genocide. The propaganda blamed Jews for Germany's economic, social, and political problems, presenting them as an existential threat to the "German race".

communism and islam ni antichrist , communism is evil ...
 
communism and islam ni antichrist , communism is evil ...
What is Evil ? And is Christ widely accepted ? Au ni kosa kuwa Antichrist ? ; One Person's Meat is others Poison...; kilicho kizuri chako ni evil kwa mwingine; kwangu mimi any extremist ni hatari kwa jamii; Unajua wamissionari kwa mfano walichowafanya red indians na kuchukua watoto kwamba waende kuwasifisha Imani / Culture yao ?

Ndio maana mtu kama Peter Tosh aliona contradictions au kina John Kamau wakaamua kujibatiza wenyewe (Jomo Kenyatta)

Peter Tosh was highly critical of mainstream Christianity, viewing it as hypocritical and oppressive, particularly its portrayal of white Jesus and its message of "sin" for Black people. He believed that blind faith without knowledge was dangerous and criticized church teachings for contradictions he observed, which led him to embrace Rastafarianism as a more authentic spiritual path.
 
What is Evil ? And is Christ widely accepted ? Au ni kosa kuwa Antichrist ? ; One Person's Meat is others Poison...; kilicho kizuri chako ni evil kwa mwingine; kwangu mimi any extremist ni hatari kwa jamii; Unajua wamissionari kwa mfano walichowafanya red indians na kuchukua watoto kwamba waende kuwasifisha Imani / Culture yao ?

Ndio maana mtu kama Peter Tosh aliona contradictions au kina John Kamau wakaamua kujibatiza wenyewe (Jomo Kenyatta)

Peter Tosh was highly critical of mainstream Christianity, viewing it as hypocritical and oppressive, particularly its portrayal of white Jesus and its message of "sin" for Black people. He believed that blind faith without knowledge was dangerous and criticized church teachings for contradictions he observed, which led him to embrace Rastafarianism as a more authentic spiritual path.

kuna good na kuna evil, na kila binadamu analijua hilo, kula watoto wadogo ni evil, kusaidia walemavu kwa mfano au kutetea wanyama ambao hawawezi kujitetea ni good, its universal, kama wewe hauwezi kuliona hilo wewe ndiyo una matatizo na siyo humanity.

ukweli upo, hao watoto red indians walisaidiwa na wamisheni kuujua good, ni kama kwetu walitusaidia (wamishionari) pia na ndiyo maana leo hii hata mimi na wewe tunawexa ku “chat” hapa …
 
Kila hadithi inahitaji Villain.....; Hata Biblia ina Shetani
  • JPM na Mabeberu
  • Hitler na Jews; n.k.
Sasa naona kuna Story zina-test mitambo kuona ipi itastick vizuri ili tukimbie nayo
  • Iwe ya Kidini kwamba ni Imani fulani ndio haitaki au inachochea kitu fulani
  • Iwe ni majirani na vita vya kiuchumi
  • Iwe Akili Mnemba
  • Iwe wafanya fujo na wasiotakia taifa Amani - Waporaji wa mali za watu
Ni mengi tutaendelea kuyasikia, na kunyoshea vidole wengine na kamwe sio kujiangalia wenyewe...

Nimejikuta nakumbuka qoute ya 2Pac kwenye Only God can Judge Me.....
"And they Say it's the White Man I should Fear, but it's my Own Kind doing all the Killing Here"​
Dictators playbook
 
kuna good na kuna evil, na kila binadamu analijua hilo, kula watoto wadogo ni evil, kusaidia walemavu kwa mfano au kutetea wanyama ambao hawawezi kujitetea ni good, its universal, kama wewe hauwezi kuliona hilo wewe ndiyo una matatizo na siyo humanity.

ukweli upo, hao watoto red indians walisaidiwa na wamisheni kuujua good, ni kama kwetu walitusaidia (wamishionari) pia na ndiyo maana leo hii hata mimi na wewe tunawexa ku “chat” hapa …
Red Indians walikuwa wanakula watoto wadogo ? Chat imeletwa na Imani ? Civilization ililetwa na Dini ? Kabla ya wakoloni kutia mguu eneo hili la Afrika mashariki watu walikuwa hawaishi katika familia, koo na Chief-doms tofauti ?

Kumbuka hapa sisemi hiki au kile kibaya nataka tu kukufahamisha kwamba any extremism ni mbaya na Islam / Christianity their all two sides of the same coin...
******************************************​
For over a century, Native American children were subjected to widespread atrocities in federally-funded and church-run boarding schools across the United States and Canada. The explicit goal was forced cultural assimilation, encapsulated by the phrase: "Kill the Indian in him, and save the man".
Abuses and atrocities at these institutions were systematic and severe:

Both U.S. federal government and various Christian denominations, including the Catholic Church, were directly involved in operating and funding these schools. Many religious institutions and government officials have since acknowledged their roles and offered apologies, with some ongoing efforts toward truth and healing.
 
Hitler was against commmunists, ingawaje jews wengi wengi waliuliwa lkn communists pia na adui mkubwa wa Hitler walikuwa communists, wengi hawalielewi hili na wanaolielewa wanapotosha, vita yote ilikuwa ni against communism iliyokuwa inashamiri Ulaya enzi hizo, karl marx na engel wote walikuwa ni wajerumani pia...
Kwenye kitabu chake cha Mein Kampf, Hitler ametaja communists zaidi au kataja Jews?

Kwenye kutafuta Final Solution, Reinhard Reydrich alitoa solution dhidi ya Communists au Jews?

Hitler alikuwa na uadui hata na Britain na USA, hao USSR alianza kusaini nao Molotov-Ribbentrop Pact kabla hajaanzisha WW2 wakati Jews alianzisha concentration camps.
 
Propaganda:-
...ilimchafua sana Kambona na watanganyika wakamchukia. Lkn ukweli ni kwamba Nyerere alionao Kambona anapata umaarufu zaidi kuliko yeye.
....ilimchafua sana Idd Amin na kuonekana ni mpenda vita, wakati ukweli ni kwamba vita ilianzishwa na Nyerere ili kumrudisha mamlakani rafiki yake Obote ambaye alikuwa kapinduliwa
 
Propaganda:-
...ilimchafua sana Kambona na watanganyika wakamchukia. Lkn ukweli ni kwamba Nyerere alionao Kambona anapata umaarufu zaidi kuliko yeye.
....ilimchafua sana Idd Amin na kuonekana ni mpenda vita, wakati ukweli ni kwamba vita ilianzishwa na Nyerere ili kumrudisha mamlakani rafiki yake Obote ambaye alikuwa kapinduliwa
Hii pia naweza kusema ni Propaganda - Kwamba Amini hakuvamia Kagera ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom