Mfa maji haachi kutapatapa. Kutapatapa kwa CCM kunaleta hatari kubwa. CCM kimekuwa chama cha propaganda hawazungumzi sera tena, matusi kuliko hata DP. Wazee wa nchi hii wakemeeni CCM hizi propaganda ni hatari kwa usalama wa nchi. Kama ni kufa CCM ife lakini isituachie madimbwi ya damu kwa tamaa za madaraka. Watu wenye busara ndani ya CCM wako wapi jamani?