MASIKITIKO
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 959
- 428
Tatizo Wa-tz tunapenda sana nyoro nyoro badala ya kufanyakazi tunakalia majungu, fitina , chuki binafsi na kuhadaiwa na akina MBOWE na SLAA eti tunachangia chama, wakati pesa wanatumbukiza kwenye matmbo yao. Wewe unaona pale Mhimbili kulikuwa mgomo kweli? mgomo wa akina MNYIKA, BISIMBA, ANALILEA na ULIMBOKA? JK alivyowambia ukweli si walichanganya na akili zao .MAIGE KAWAAMBIA' CCM,MMEJAA MAJUNGU WIVU NA WAONGO'