Promosheni vunja bei, simu kwa Tshs 45,000/= tu

Promosheni vunja bei, simu kwa Tshs 45,000/= tu

abdulh iddy

Senior Member
Joined
May 28, 2015
Posts
159
Reaction score
6
Simu iko pouwa kabisa haina tatizo lolote.Ni ya touch, touch yake ipo pouwa kabisa,imetumika muda kidogo sana, mitandao ya kijamii ipo. wahi sasa bei sawa na bure simu bado mpya kabisa.

NICHEK KWA -0674439864

WAHI MZIGO POA SANA
 
Hivi hata wewe ukikutana na tangazo kama hilo utamtafsiri vipi mtoa tangazo?.
Mambo mengine hata sio swala la kukimbia umande ni umakini tu unaohitajika.
 
Ni simu ya aina gani?,brand,specification a we we uko mkoa gani?
 
Kama hujui kutangaza biashara omba msaada.
Simu yenyewe inaonekanb mchina.
Mi sitaki kutembea na sola au jenereta kichwani.
 
Back
Top Bottom